mzunguko wa pesa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    KERO BoT Changamoto ya chenji na mzunguko wa Pesa za Sarafu, je kuna nini kinaendelea?

    Wadau, hivi karibuni nimeshuhudia changamoto kubwa ya fedha za sarafu hasa za Tshs 200, 100 na 50. Biashara nyingi sasa hivi ni ugomvi kutorudishiwa chenji kwasababu ya kutokuwepo na sarafu. Binafsi nimefuatilia maduka makubwa hadi sasa yanadiriki kujaza pipi na big G kwenye madroo ya fedha...
  2. D

    Nchi imekuwa tamu sana. Mzunguko wa pesa mzuri mno na pesa iko mtaani tofauti na miaka mitano iliyopita. Hivi mama ulikuwa wapi?

    Tumeteseka sana miaka mitano iliyopita mtaani kulikuwa kugumu sana kiasi ambacho pona pona yetu ikawa ni kusaka ajira ambazo zilikuwa hazipo both private and public sectors. Watu kila siku walikuwa wanafunga biashara zao na automatically wafanyakazi wanaondolewa wote. Mfano uchumi super...
  3. sky soldier

    Ni miaka saba imepita tangu niage Arusha 2016, kipi kimebadilika hadi sasa?

    Nilikuwepo Atown 2011 hadi 2016 - Maendeo niliyoishi ni Njiro mitaa ya double B karibu na kituo cha polisi, Lemara, Relini karibu na bwawa la maji taka na Njiro Tanesco. hali ya usafiri imeboreshw ? Muda huo wote nilikuwa napanda vifodi na hiace, sikuhizi kuna mabadiliko ? ile stendi kuu ya...
  4. NetMaster

    Wachumi, ni wapi pana nafuu kati ya awamu ya tano na ya sita?

    Ningependa kupewa ufafanuzi wa kiuchumi ni hali ipi huwa ina unafuu A. Mzunguko wa pesa kuwa mdogo ila bei za bidhaa / huduma ni kawaida. Awamu hii ilisifika kwa msemo maarufu vyuma vimekaza, mzunguko wa pesa ulipungua kwa sababu biashara nyingi zilifufungwa ama kusua sua, hakukuwa na ongezeko...
  5. Founder Tz

    Niambieni kuhusu biashara na mzunguko wa pesa Iringa mjini

    Wana Iringa habarini, Vipi ukuaji wa huu mji, mzunguko wa pesa, uchumi na hali ya kibiashara mjini hapo. Nafikiria kufungua hardware mjini pale, ushauri na muongozo wenu utaniokoa.
  6. Red Giant

    Wanauchumi msaada: hii mbinu ya Mwigulu kuongeza mzunguko wa pesa ipo sawa?

    Bondia wakuu. Mwigulu alisema kuwa pesa zitakazopatikana kwenye Tozo zitaenda kujenga vituo vya Afya nk. Tena akasema watatumia mafundi wa eneo husika ili kuongeza mzunguko wa pesa. Kuwa pesa za tozo zitaenda kuleta neema. Sasa hizi hela za tozo kabla ya kukatwa zilikuwa wapi? Si zilikuwa kwa...
  7. Analogia Malenga

    Mwigulu: Wananchi wanaenda kupata fedha nyingi, watazoea makato

    Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi...
Back
Top Bottom