mzee butiku

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Carlos The Jackal

    Mzee Butiku, Polepole katekwa uko kimya hahaha !! Tumekufuta katika wazee wa taifa hili

    Ndio Furaha yako ?! . Naona kale ka Asili ka 'Kizanaki' , ukigeugeu na Kujipendekeza ndiko kamekuharibia. Hautakubalika tena na Watanzania , Wala hautaheshimiwa Tena na Watanzania , TUMEKUFUTA na kukuondoa katika Orodha ya Wazee Makini wa TAIFA hili. Wewe Sasa ni Mmoja ya Wazee wahuni ...
  2. M

    GE2025 Butiku usipokemea anayopitia Polepole, Umeshiriki kuivunja Tanzania

    Butiku jana ulisema Jeshi lisiingilie Siasa, Ila Hakuna namna kwenye this terror regime. Tulitaka tuvuke huu mkwamo kwa kutunza heshima yenu, ila ameshindwa kuwacontrol hawa wahuni wake na wamekuwa rougue Kama Butiku hutakemea hili, usitushauri kwa litakalokuwa "Gloves are off". We need to...
  3. Carlos The Jackal

    Mzee Butiku ulishauri walikudharau na Wakakupuuza, Leo Capt Tesha kajitoa Muhanga, usitukatishe tamaa, ni heri ukakaa kimya, Watanzania watakudharau

    Mzee bila shaka ulitumia muda mwingi sana kwenye Vyombo vya habari kuhubiri MABADILIKO MABADILIKO . Ulipuuzwa, na wakakuambia Mzee umeshastaafu, kama kwa kutulia. Mzee Butiku kama ni mema ya Nchi hiii umeyala ya kutosha Hadi Sasa unzeeka Sina uhakika kama unaweza kua na miaka 10 ya kuendelea...
  4. Carlos The Jackal

    Kwahiyo Mzee Butiku , Kwa Maoni yako unayohisi yana Busara, nini Hatima ya Watanzania kuanzia 2026 ikiwa Samia ataendelea?.

    Nini Hatima ya Waliotekwa na Kufungwa na kuuwawa?. Nini Hatima ya Vyama vya siasa hasa CHADEMA ? Ni Hatima ya Tundu LISSU ?. Nini Hatima ya Walio, wanao na watakaoendelea kuikosoa Serikali Kwa namna mbovu inavyoendesha Nchi?. Nini Hatima ya Wazalendo ambao wanahitaji kuhakikisha...
  5. The Supreme Conqueror

    Mzee Butiku naye analinda kula yake kupitia MNF pale Rotana Johari Buildings amesahau matamko yake amelipwa Trilioni ngapi Watz M60 tumchangie?

    Kwa kifupi tu Andrew Nyerere mwenye Ubini na ihalali wa yale majengo alishamaliza kila kitu na ndiyo maana familia ya ndani ya Baba wa Taifa wapo kimya. Butiku asitake kula matapishi yake tuko imara kwa data aliwahi kuiponza Taasisi ya TPO leo anaona maslahi ya wanaye ni bora kuliko Taifa hafai...
  6. Lord Denning

    Mzee Butiku utukome. Ni heri ukae kimya kujitunzia heshima yako kuliko kukubali kufanya Upotoshaji

    Tunakuomba sana Mzee Butiku utukome. Mlishindwa kuwadhibiti Mafisadi na sasa wamewameza hadi nyie huku wakiharibu maisha yetu sisi Watanzania wengi na vizazi vyetu vinavyokuja. Tunakuomba acha kutumika kufanya propaganda na upotoshaji. Watanzania tuko very serious mwaka huu kulikomboa hili...
  7. The Burning Spear

    Mzee Butiku alituasa vijana tujihadhari na watawala wahuni leo hii naye kageuka kuwa Muhuni.

    GT Waafrika tunashida kubwa sana vichwani mŵetu that is why hatusongi mbele njaa inatufanya tuwe vigeugeu. Mzee Butiku alishawahi kukemea hadharani dhidi ya viongozi makanjanja na wahuni akisema vijana tusiwe waoga hata kama uhai wetu utakuwa hatarini. Ninachokiona wahuni wamemweka mfukoni...
  8. McLaren

    GE2025 Mzee Butiku amjibu Kapteni Tesha: Yeye sio askari na kama ni askari atakuwa na jeshi lake jingine

    Wakuu, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere (MNF), Joseph Butiku, amewataka Watanzania kupuuza taarifa zilizotolewa jana Oktoba 4, na mtu aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha wa Jeshi la Wananchi (JWTZ), aliyetoa wito wa jeshi kuchukua hatua dhidi ya Serikali. "Nilimuona ana ndevu...
  9. M

    PreGE2025 POTOSHI BUTIAMA: Mzee Butiku asema tangu awali hakukubaliana na Uhuni na Uendawazimu wa Humphrey Polepole

    Mzee Butiku asema, Ngoja nimwite Kwa lugha ya Mtaani Muhuni au Mwendawazimu na pengine si mwenzetu,
  10. R

    Mzee Butiku, Warioba na wengine wa busara, taasisi za dini zenye busara , inusuru Tanzania mkiwa hai. Kama inavunjwa katiba ya chama ya nchi itakuwaje

    1. Kama mtu anayetegemewa kugombea urais anavunja katiba ya chama chake, akipewa nchi na kipindi cha mwisho, nawahakikishia ataivunja vipande vipande katiba ya nchi 2. Kama kaita Katiba ya Nchi Kijitabu, kwenye urais wa kupata kwa ngekewa, kipindi cha lala salama itakuwaje? 3. Butiku, Warioba...
  11. Five55

    GE2025 Mzee Butiku: Rais Samia alizidiwa nguvu na wajumbe baada ya Mzee mmoja mstaafu kutoa hoja, lile haikuwa takwa lake alilazimishwa

    Mzee Butiku ambae ni mwenyekiti wa Kigoda cha Mwl Nyerere, Hivi majuzi akihojiwa Nyumbani kwake Butiama mkoani Mara na kituo maarufu cha ITV katika kipindi Cha DKT 45, Ametoa maoni yake kuhusu Uteuzi wa Mgombea Urais wa CCM kwa uchaguzi mkuu wa OCT 2025. Pamoja na mambo mengine Mzee Butiku...
  12. Richard

    GE2025 Ushauri: Rais Samia ajiuzulu Uenyekiti abakie Rais ili CCM ijisafishe na Mzee Kikwete asimamishwe uanachama kwa muda kupisha usafi

    Mzee Joseph Butiku jana kaeleza uzuri jambo lilotokea tarehe 19 Januari 2025 kwamba Rais Samia alisita kukubali hoja ya kwamba jina lake lipitishwe kinyemela. Nimekwishaliongelea hili la kumtayarishia njia mtu fulani ambae sasa yajulikana wazi kuwa ni mwanae mzee Kikwete Ridhiwani Kikwete kuja...
  13. GENTAMYCINE

    Kwanini Mzee Butiku, Balozi Polepole na wengineo mnaogopa Kumtaja huyo Mzee aliyeharibu Mchakato Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma kuwa ni Kikwete?

    Hakuna asiyelijua hili kuwa Kikwete ndiye aliyelazimisha Utaratibu wa CCM usifuatwe Mkutano Mkuu CCM Dodoma na sijui ni kwanini mnaogopa Kumtaja na badala yake Mnafumbafumba tu na hata huko Kufumba kwenyewe wenye Akili Kubwa tumeshamjua kuwa mnayemsema hapa ni Rais Mstaafu na Rais wa sasa Kivuli...
  14. Carlos The Jackal

    Naliomba kwa unyenyekevu JWTZ wamlinde Mzee Butiku na Mzee Warioba

    Alipohoji Gwajima , Amenusurika kutekwa, Kafungiwa Kanisa, Wamefreeze accounts zake za Bank. Alipohoji MPINA, amekatwa Jinakwa Maneno ya RAIS. Alipohoji MH POLEPOLE, Dada yake ametekwa, anatafutwa ni wapi alipo, naamini wakimpata tu ni Ama Kumuua au kumpa Kesi kubwa. Amewahi Ongea Mzee...
  15. B

    PreGE2025 Butiku: Hata Rais Samia anajua umuhimu wa Reforms kabla ya uchaguzi. "Kwa hali ya sasa kuna rushwa, wizi, haki haipo!"

    Haya ni maneno ya Mzee Butiku: Kwamba Samia anayajua, kumbe shida nini? Kama angependa kuendelea hata kama kina M7 si aseme tu? Ya nini kuitisha chaguzi viini macho? Ya nini kusumbua watu magerezani au hata kuwa na vyama vya siasa?
Back
Top Bottom