Kwa Mujibu wa mambo ya Kweli ni kwamba, Unapokuwa Ikulu kwa maana ya kuwa kiongozi mkuu wa Nchi, wewe unakuwa Mtukufu, yaani hakuna njaa wala gumu lolote kwako binafsi, familia yako, marafiki zako pamoja na wapambe wako.
Yaani wewe ndiye mwajiri Mkuu na ndiye mlipaji mkuu, kwa kifupi wewe...