Mwigulu Lameck Nchemba Madelu ni mwanasiasa na mwanachama wa chama cha kisiasa nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mwigulu alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango tangu 31 Machi 2021, mpaka July 2023 ambapo wizara hiyo ilivunjwa na kuwa wizara mbili yaani Wizara ya Fedha inayoongozwa na Mwigulu Nchemba na Wizara ya Mipango na Uwekezaji inayosimamiwa na Waziri Kitila Mkumbo.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema ameshtushwa na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi kwani walizungumza jana na kupanga mkutano.
EID MUBARAK
Naungana na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuwatakia Waislamu na Watanzania wote Sikukuu njema ya Eid el-Fitri.
Tuyaishi na kuyaendeleza mema yote tuliyojifunza katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani: upendo, huruma na kusaidiana, ili...
Nimewaza tu. Hawa wanafaa sana kuongoza nchi kama Iran. Je kwa nini Iran isije kuazima wakawapa nafasi za juu kule nchini kwao? Na je hawawezi pia kumchukua na IGP wetu naye akaenda kuwa Mkuu wa kikosi cha Bajis?
Nadhani katika kipindi hiki Iran ingepata viongozi wa karba hii tulio nao...
Wizara ya Kilimo na Wizara ya Viwanda na Biashara zaanza kutekeleza agizo la Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba kuhusu marufuku ya Lumbesa
📍Nsimbo-Katavi
🗓️Machi 15, 2026
Afya ni Mtaji wa kwanza katika shughuli za maendeleo-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba.
📍Songambele (Nsimbo)-Katavi
🗓️Machi 15, 2026
————————————
Amesema hayo alipozungumza na wananchi wa kata ya Songambele, Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo mkoani Katavi kwenye mkutano wa hadhara.
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amefanya ziara mkoani Katavi kukagua miradi mbalimbali iliyotekelezwa mkoani humo ikiwemo ujenzi wa shule na hospitali na kuelezea mafanikio yaliyofanyika katika kipindi cha uongozi wa awamu ya sita.
Waziri Mkuu ameonya tabia ya vituo vya afya kuwaagiza wanaanchi...
Naandika haya nikiamini utayasoma kwakuwa wewe ni mmoja wa wanajukwaa JF
Sasa hivi nchini kuna makampuni mengi yanayoagiza mali zilizokwisha tumika toka nje.
Ni jambo zuri sana kwani huwawezesha wenye kipato kidogo wasioweza kumudu kununua baadhi ya vitu vipya, kununua hivi vya mitumba...
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba Machi 13, 2026 akizungumza na wananchi wa eneo la Majalila, Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi, amesema Serikali tayari imeshalipa fedha zote za utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayoendelea katika maeneo mbalimbali.
"Kila eneo ambapo mradi...
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba leo Machi 13, 2026 akizungumza na wananchi wa eneo la Majalila, Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi ameagiza TAKUKURU kufanya uchunguzi kufuatia Serikali kupeleka Fedha za dawa lakini kila mgonjwa akienda hospitali anaambiwa akanunue dawa, pale hazipo...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 13, 2026 akizungumza na wananchi wa eneo la Majalila, Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi amesema kuwa Rais ameshatoa maelekezo kuwa tusinyang'anye wananchi ardhi kwa kisingizio cha miradi ya maendeleo
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba leo Machi 13, 2026 akizungumza na wananchi wa eneo la Majalila, Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi kuhusu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Selemani Kakoso ambaye ni Mbungu wa Mpanda.
SASA NI KATAVI, ZIARA YA KIKAZI
MHE. DKT. MWIGULU NCHEMBA, WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
📆 IJUMAA – MACHI 13, 2026
🕰️ KUANZIA SAA 5 ASUBUHI
Lengo la Ziara:
1. Kuweka Jiwe la Msingi Mradi wa Maji wa Miji 28 – Shanwe.
2. Kuweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Barabara ya...
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 12, 2026 amemjulia hali Diwani wa Kata ya Kidaru, Ndugu Philipo Manguli wa Iramba, mkoani Singida, ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma.
Mwananchi mmoja mkazi wa Mtaa wa Senti, uliopo katika Wilaya ya Sumbawanga Mjini mkoani Rukwa, ametoa malalamiko yake kwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, akieleza kuwa hadi sasa ahadi iliyotolewa na msanii maarufu wa muziki wa Bongo Flava, Diamond Platnumz, ya kuchangia kiasi cha...
Magufuli pamoja na mapungufu yake yote alipenda watu waadilifu wasio na makandokando ndo maana alivyomstukia kondakta alimweka pembeni na kweli kondakta alikua team mtandao.
Je wakati Magufuli mpaka umauti unamfikia huyu Mwigulu alikua ana cheo gani katika serikali ya Magufuli?
Kama alikua...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 9, 2026 akizungumza na wananchi wa Namanyere, mkoani Rukwa ametoa maelekezo kwa Mawaziri kuweka kwenye sheria kwamba mkandarasi anapolipwa fedha zake, zile ambazo si zake ziende moja kwa moja kwa watu waliofanya kazi.
Ametoa agizo hilo baada ya...
Kwa utamaduni wa ccm mtu akishahudumu kwenye nafasi kubwa kama waziri mkuu, spika, makamu wa rais, vyeo hivyo vitamtosha hadi atapostaafu.
Pia kuna utanaduni wa kubadilisha marais kwa dini, akitoka Mkristo ataingia Muislam hasa wa Zanzibar
hawa wote walikuwa wanaonekana kuwa marais 2030 lakini...
Ugomvi au Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi tatizo ni Urais.
Mmoja anajitapa ni mtoto wa Masikini. Kwamba aliua fisi na Chui wakati analinda Ng'ombe hivyo hawezi kushindwa kuwalinda watanzania. Anazunguka Tanzania nzima kujijenga kisiasa na kutenegenza pesa za per diem..
Anaongea kwa kufoka...
https://youtube.com/shorts/MEqA4gkHiEk?si=2gsyCugE6mSwPCdL
Akirusha huu mtungi unaweza kumuokoa au ndio jamaa wamejipanga hata akileta ushahidi gani lazima wamtungue
Namna ya kutatua kero za wananchi. Kutoa maagizo na hata kushughulikia watendaji wa serikali?
Waziri mkuu ndie msimamizi mkuu wa shughuli za serikali.
Marehemu Sokoine alikuwa msimamizi mkuu wa shughuli za serikali. Maana hata maagizo yake yaliogopwa.
Vivyo hivyo kwa Kasim mstaafu ambae juzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.