Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia walimu wawili kwa tuhuma za ubakaji wa wanafunzi wao katika matukio mawili tofauti, yaliyotokea wilayani Sengerema.
Akizungumza na wanahabari siku ya Jumatano Machi 19, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Wibroad Mutafungwa, amesema katika...