mwaka wa fedha 2026/2027

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha: Tumetenga Tsh. 50 kuboresha barabara za Mtaa Kibaha Mwaka wa Fedha 2026/2027

    Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Mkoani Pwani imetoa ufafanuzi kuhusu hali ya Barabara kutoka Sheli hadi Mpigi na ile ya kuelekea Tankini na Muheza katika Kata ya Mailimoja kwa kusema kuwa ilipeleka kiasi cha Shilingi Milioni 420 kwa mgawo wa Shilingi Milioni 30 kwa kila kata. Taarifa ya...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Utambulisho wa Kassim Majaliwa waibua Shangwe Kwenye Uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali 2026/27

    Waziri Mkuu Mstaafu, Kassim Majaliwa, alikuwa miongoni mwa viongozi waliohudhuria kikao cha Bunge kusikiliza uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nchi za Afrika Mashariki kusoma bajeti mwaka wa fedha 2026/2027 leo Juni 11, 2026; Nini maana ya bajeti hii kwa wananchi?

    Leo, Juni 11, 2026, nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zinasoma bajeti zao za mwaka wa fedha 2026/27. Nchi hizo ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Somalia. Bajeti ni mpango wa serikali unaoeleza kiasi cha fedha...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Bajeti Kuu ya Mwaka wa Fedha 2026/2027 inasomwa Leo Bungeni; Je, Italeta Unafuu wa maisha au Mzigo Mpya kwa Mwananchi?

    Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/27 inatarajiwa kusomwa bungeni jijini Dodoma, na kila mmoja wetu anasubiri kwa hamu kujua mwelekeo wa maisha yetu kwa mwaka ujao. Ni bajeti ya kwanza kusomwa inayoanza kutekeleza Dira Mpya ya Taifa ya Maendeleo ya Mwaka 2050 (Vision 2050). Akitoa...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi yaomba Bilioni 210 Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Douglas Akwilapo, leo Mei 28, 2026, amewasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027, huku akiomba kuidhinishwa jumla ya Shilingi bilioni 210,259,515,000 Mchanganuo wa Bajeti Matumizi...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ujenzi yaomba Trilioni 2.5 kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027

    Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega (Mb.), akiwasilisha Bungeni Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha kwa mwaka wa Fedha 2026/27 ya Wizara ya Ujenzi leo, tarehe 20 Mei 2026, amesema kuwa jumla ya Tsh 2,564,441,414,000 zinahitajika ili kufanikisha utekelezaji wa majukumu ya wizara...
  7. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Wapi zitaenda Trilioni zilizoombwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia — 2026/27? Kuna chochote cha kutarajia?

    Wakuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeomba jumla ya Shilingi za Kitanzania Trilioni 2.4 kwa ajili ya kutekeleza majukumu yake kwa mwaka wa fedha 2026/27. Hii ni moja ya bajeti kubwa zaidi kati ya wizara zote nchini. Tutegemee nini? Fedha Zitatumikaje? Bajeti imegawanywa katika...
Back
Top Bottom