Ni vigumu kutambua nafasi ya Rais wa Tanzania hasa katima hoja aidha ni mwajiri wa wananchi au ni mwajiriwa wa wananchi.
Marais waliopita wametengeneza dhana kwamba wao ni waajiri wa wananchi huku wanapokuwa kwenye Mikutano ya adhara wakihubiri kwamba wao ni waajiriwa. Rais wa Tanzania...
Hivi majuzi timu ya mpira wa miguu ya Simba baada ya kikao cha kamati ya nidhamu iliadhimia kumpeleka mchezaji Jonas Mkude kupima afya ya akili Mhimbili.
Swali iko wapi haki ya Siri ya afya ya mwajiriwa? Je, endapo Mkude atakataa kwenda hospital Simba watamfanya nini?
Na vipi Mkude akiamua...
Habari Wana Sheria?
Naomba msaada wa kisheria kuhusu kero za serikali juu ya upandaji madaraja( promotions)
Mwaka 2015 mwezi Novemba nilipokea barua ya kubadilishiwa daraja ( promotion) niliendelea kupokea mishahara wa zamani mpaka mwezi Mei 2016 ndo nikapewa mshahara mpya unaoendana na daraja...
Wasalaam,
Watanzania wenzangu nakuja mbele yenu kwa ajili ya ombi hili la kumkuwadia (lobbying) kwa ajili ya huyu staff mwenzangu. Walioko mtandaoni ni wale wale walioko huko mtaani.
Sifa za mtafuta mke
1. Miaka 35
2. Anaishi Dar es Salaam - Kigamboni
3. Ni muajiriwa katika Agency mojawapo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.