Kama wewe sio photogenic, basi utulie na udili na wamtaani tu.
Kuna watu hata wavae vipi, wakipiga picha unaona kabisa huyu ni mlugaluga.
Ukimfata mrembo online cha kwanza anakuomba umtumie picha akuone, anataka ajue, je unaonekaje? Unasura personal au unavutia? akiona unasura personal...
Kuna wengine tunapendeza kwa jitihada ndogo mana muonekano unatubeba, sasa kama wewe huna muonekano, jitahidi uvae vizuri na unukie vizuri. Mtu anaenda jumuia kama anaenda shamba, halafu watu waki “pay attention “ kwetu mnaanza kushangaa.
Kama unajua una sura personal na irregular shape, then...
Nimeshangaa kijana anachanganyikiwa kisa ametongozwa na mwanamke, mwingine anashangaa kuombwa sex na mwanamke. Hii inaonesha wengi wanamuonekano wa vishoia, si ajabu wanani attack.
Sasa mimi wanawake wananitongoza hadi ilikua kero mpaka sasa nimezoea. Kuhusu sex, sio tu wanataka tusex, bali...
Nimezitumia Iphone kwa mudamrefu, nilikuwa sisikii wala sioni simu nyingine nje ya iphone, ila baada ya kuhamia android sijioni kabisa nikirudi nilikotoka.
Simu za android hapa nazoziongelea ni zile topbrand Samsung, Google Pixe, One Pus, Xiaomi,
Mitandao ya simu inakubana ukitumia Iphone...
android
baada
bei
bei ghali
buku
dhahabu
ghali
iphone
kuhamia
kununua
kuona
louis
louis vuitton
matumizi
mtoto
mtoto wa
muonekanomuonekanomzuri
ndani
sana
shule
simu
uhuru
wenye
Wataalamu wa Subaru.
Hii gari Subaru XV aka Subaru Crosstrek naiona BF kwa bei rafiki sana hadi $3500!
Ushuru ndio mchawi naona umesimama hadi Mil 13 ila nashangaa sana CIF ilivyo ndogo, especially kwa hii gen 1.
Kama kuna mtu amewahi kuimiliki ebu atoe ushirikiano, kuna mdau anaitaka.
Wasalam,
Nimeona na kushughudia kwenye nchi zenye umaskini mkubwa kuwa mtu ukiwa na muonekano labda rangi ya ngozi mathalan ukawa ngozi nyeupe kama ndugu zetu waarabu au maji ya kunde ile ya mng'aro basi inakuwa ni shida sana kwenye mitaa au masokoni au sehemu yoyote ile.
Ukiwa na rangi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.