A Mufti (; Arabic: مفتي) is an Islamic jurist qualified to issue a nonbinding opinion (fatwa) on a point of Islamic law (sharia). The act of issuing fatwas is called iftāʾ. Muftis and their fatwas played an important role throughout Islamic history, taking on new roles in the modern era.Tracing its origins to the Quran and early Islamic communities, the practice of ifta crystallized with the emergence of the traditional legal theory and schools of Islamic jurisprudence (madhahib). In the classical legal system, fatwas issued by muftis in response to private queries served to inform Muslim populations about Islam, advise courts on difficult points of Islamic law, and elaborate substantive law. In later times, muftis also issued public and political fatwas that took a stand on doctrinal controversies, legitimized government policies or articulated grievances of the population.Traditionally, a mufti was seen as a scholar of upright character who possessed a thorough knowledge of the Quran, hadith and legal literature. Muftis acted as independent scholars in the classical legal system. Over the centuries, Sunni muftis were gradually incorporated into state bureaucracies, while Shia jurists in Iran progressively asserted an autonomous authority starting from the early modern era.With the spread of codified state laws and Western-style legal education in the modern Muslim world, muftis generally no longer play their traditional role of clarifying and elaborating the laws applied in courts. However, muftis have continued to advise the general public on other aspects of sharia, particularly questions regarding religious rituals and everyday life. Some modern muftis are appointed by the state to issue fatwas, while others serve on advisory religious councils. Still others issue fatwas in response to private queries on television or over the internet. Modern public fatwas have addressed and sometimes sparked controversies in the Muslim world and beyond.The legal methodology of modern ifta often diverges from pre-modern practice. While the proliferation of contemporary fatwas attests to the importance of Islamic authenticity to many Muslims, little research has been done to determine to what extent the Muslim public continues to acknowledge the religious authority of muftis or heeds their advice.
Shekhe Mkuu na Mufti wa Tanzania, Dkt, Abubakar Zuber Bin Ally, amesema kuwa hakuna ukweli katika taarifa zinazosambazwa kwenye Vyombo vya Habari na Mitandao ya Kijamii zinazoashiria kuwa Wakristo wanawatukana au kuwafanyia fujo Waislam.
Mufti Zuber ameeleza hayo leo wakati akizungumza kwenye...
Ndugu zangu Watanzania,
Viongozi wetu wa Dini wameendelea kutoa maneno ya nasafa na uzalendo mkubwa sana kwaTaifa letu juu ya kulinda na kutunza Amani ya Taifa letu kwa wivu mkubwa sana. Ambapo leo hii Mufuti na Sheikh Mkuu Wa Tanzania Dkt Abubakary Zubery ametoa maneno mazito sana na...
AGIZO LA SHEIKH MKUU NA MUFTI WA TANZANIA
"Assalaam alaikum.
Nimewaagiza Mashekhe wote Nchini kuanzia Mikoa, Kata na Wilaya pamoja na Maimamu wa Misikiti yote Nchini Kuleta Dua ya Qunuti baada ya kila Sala. Dua hii Maalum kwa ajili ya kuendelea kumlilia na kumuomba M/Mungu Mtukufu aendelee...
Jana siku ya jumatano ya tarehe 30 rabiy-l - Akhiyr 1447 (H) sawa na 22 September 2025 (AD) ufalme wa Saudi Arabia umemteua na kumtangaza Sheikh Dr Swaaleh bin Fauzaan bin Abdillaah Al fauzaan kuwa Mufti mkuu wa nchi hiyo akimrithi mufti aliyetangulia Sheikh Abdul Aziyz bin Abdillaah Aal - Al...
29 August 2025
Unguja, Zanzibar
OMO - NCHI INAELEKEA KWENYE KHATARI KUBWA
Othman Masoud Othman afika ofisini kwa Mufti Mkuu wa Zanzibar mheshimiwa Sheikh Saleh Omar Kabi
https://m.youtube.com/watch?v=E8JPsgD5Yw0
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amemuelezea Mufti...
DAARUL MAARIFA DAY 2025
Mheshimiwa Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt Abubakar Zuber Bin Ally anawaalika Waislam wote kuhudhuria katika Maulid ya Daarul Maarif, itakayofanyika Viwanja vya Msikiti wa Mfalme Mohammad VI Bakwata Makao Makuu.
Mufti amewataka Mashekhe wote wa Mikoa, Wilaya, Kata...
Katika kilele cha maadhimisho ya uzinduzi wa kanisa la mtume mwamposa!
Mbele ya Rais mwakilishi mufti amesema anaunga mkono watu kupotezwa, kutekwa na kukatwa vichwa ili amani iendelee kuwepo!
Apongeza kazi ya MTUME kuwaalika kushiriki katika hafla hiyo ili kutoa neno hilo aliloagizwa na mufti...
Mufti Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuber anatarajiwa kuongoza Dua ya Kuiombea nchi na Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuwaombea Dua masheikh walitangulia mbele ya haki.
Mufti Abubakar amesema katika Dua hiyo inatarajiwa kufanyika kwa siku 2 tarehe 8 - 10 jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi...
Mufti mkuu wa Misri akataa fatwa ya jihad dhidi ya Israel kama 'kutowajibika'.
Mufti Mkuu wa Misri Nazir Ayyad Jumatatu alisema "halikuwa jambo la kuwajibika" kwa Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) kutoa fatwa ambayo ilisema "Waislamu wote wenye uwezo" wana wajibu wa kufanya...
Ndugu Mufti Zubeir
Kwa muda mrefu umezungumzia sana suala la amani nchini lakini huwa huzungumzii Haki, Pamoja na ujumbe wako wa amani hata hivyo kutokuzungumzia haki kunaufanya ujumbe wako upwelee.
Dini ya Kiislamu inataka amani lakini inakataza dhulma. Mafundisho ya kiislamu yanasema kuwa...
Mufti inasikitisha kwa kuweka uchawa mbele. Anaongelea amani lakini kajisahaulisha kwenye chaguzi huru, haki , utekaji kama vile kila kitu ni sawa.
Sio kweli tatizo la Amani litapindishwa na Haki. kuibia kura za wananchi chama kimoja hapo wananchi wakifanya fujo hilo sio tatizo la wananchi...
Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Zuber Bin Ally ametumia mashindano ya kusoma na kuhifadhi Qur-an Tukufu kumuombea msamaha mwalimu wa Madrasa, Mussa Bashiri, aliefikishwa mahakamani akikabiliwa na mashtaka ya kuwafanyia ukatili wa kuwachapa viboko watoto wawili wenye umri...
TANZANIA HAINA MUFTI !
TANZANIA HANA SHEKH MKUU!
Kwa muda mrefu tumekuwa tukisikia kiongozi mkuu wa taasisi ya kidini iitwayo Baraza kuu la waislamu wa Tanzania bara akitajwa kama mufti na sheikh mkuu wa Tanzania na mtazamo huu ni makosa makubwa sana na uamebeba maudhui ya upotoshaji kwa...
TANZANIA HAINA MUFTI !
TANZANIA HANA SHEKH MKUU!
Kwa muda mrefu tumekuwa tukisikia kiongozi mkuu wa taasisi ya kidini iitwayo Baraza kuu la waislamu wa Tanzania bara akitajwa kama mufti na sheikh mkuu wa Tanzania na mtazamo huu ni makosa makubwa sana na uamebeba maudhui ya upotoshaji kwa...
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakaatuh.
Habari ya majukumu hapo ofisini kwako, bila shaka umzima wa afya na waendelea vyema na majukumu waliyokupatia waislamu katika kukitumikia kiti hicho. Pamoja na raddi na mivuguvugu mingi unayoipata toka kwa mahasimu wako wa kiitikadi lakini bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.