mtukufu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Google Diggers

    Mnyama twiga namuona kama mtukufu sana hastahili hata kuwindwa na simba

    Ndugu zangu nampenda Ssana twiga. Napata shida sana anapowindwa na simba. Simba angejua angewinda wote akamuacha twiga. Sababu kubwa ni upole wake na upekee twiga is a beautiful animal Simba please don't hunt twiga. Fikiria fisi akimsumbua twiga hell no hawa akina 🦊 wawawinde wanaostahili...
  2. L

    Waislamu wenyeji na wageni nchini China wakaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Ramadhan ni mwezi wa Baraka kwa Waislamu wote duniani. Katika kipindi chote cha mwezi mtukufu wa Ramadhan, Waislamu wanafunga na kusali ili kuomba msamaha kwa Mungu wafutiwe dhambi zao. Kawaida kila mwislamu duniani anajiandaa mapema kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Waislamu wa China nao...
  3. JanguKamaJangu

    Kanuni za Bunge baadhi zatenguliwa kutokana na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

    KANUNI ZA BUNGE ZATENGULIWA KUPISHA MFUNGO Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limetengua Kanuni kwa ajili ya kuruhusu Mfungo wa Mwezi wa Ramadhan ambapo mabadiliko hayo yataendelea hadi mwisho wa mfungo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, George Simbachawene amewasilisha hoja hiyo...
  4. Mohamed Said

    Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa Miaka yote

    Nawatakeni radhi wasomaji wangu kwa kuandika kwa Kiingereza na Kiswahili: RAMADHANI IN DAR ES SALAAM THROUGHOUT THE YEARS ''Leo Chungu Tatu Ramadhan 1436 Dhuhr imenikuta Ubungo/Mandela. Takbir za sala nazisikia zikirindima kutoka vipaza sauti lakini msikiti wenyewe siuoni. Nikauliza na...
  5. Idugunde

    Dodoma: Rais Samia awatunuku Kamisheni Maofisa wa JWTZ

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan. Atawatunukia Kamisheni Maafisa wanafunzi wa Jeshi la Wananchi Tanzania. Viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma. Matangazo yataanza saa nane kamili mchana leo tarehe 17 Aprili 2021. ==== Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu...
  6. K

    Rais kuitwa mtukufu na kuabudiwa hadharani bila kukemea inaashiria nini?

    Hili jambo limenistua na kunipa hisia hasi. Sikuamini macho na masikio yangu kwa Rais huyu huyu wa wanyonge na mcha Mungu. Akitoa maelezo ya kutaka Maendeleo jimboni kwake Kibamba, Mbunge Issa Mtemvu alimwita Rais Magufuli MTUKUFU tena akimsujudu hadi ardhini. Nilijua Rais atakapoamka kutoa...
Back
Top Bottom