Kuna Mtanzania anaye elewa msingi hasa wa hii CCM ya sasa! Ina simamia nini hasa?
CHADEMA tunajua inasimamia demokrasia, maendeleo, HAKI (Uhuru wa upigaji kura, Tume huru, mikataba ya uwazi, na haki za Watanzania)
CCM ya zamani kilikuwa chama cha wakulima, ujamaa na maendeleo.
Je, CCM ya sasa...