Wadau bado kuna ufahamu mdogo nini kifanyike kuboresha mtaala wa elimu.
1. Kuandaa vijana wetu kwenye mtaala ili washiriki uchumi wa viwanda lazima Sera ya Elimu lazima ibainishe kuwa Shule ni kituo cha kukuza ubunifu.
2. Ili kutekeleza hilo, mtaala utabainisha ufundishaji unakuza na kujenga...