Mchekeshaji Mpoki anafafanua kwa utani mzigo mkubwa wa gharama anaobeba mwanaume kwenye mahusiano, kuanzia hatua za mwanzo za kutongoza na kutoa nauli, hadi kununua pete ya uchumba na kuandaa sherehe .
Anaeleza kuwa katika maisha ya ndoa, mwanaume hubeba gharama za kodi, umeme, gari na saluni...
Katika mazingira ya elimu, mahafali si sherehe ya kawaida bali ni jukwaa la maono, msukumo na mwelekeo wa maisha ya wahitimu. Ndiyo maana uchaguzi wa mgeni rasmi hubeba uzito mkubwa kuliko inavyodhaniwa, kuna wakati viongozi waandamizi haswa mkuu wa shule pamoja na wasaidizi wake huzungusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.