moto

Grand Prix motorcycle racing is the premier class of motorcycle road racing events held on road circuits sanctioned by the Fédération Internationale de Motocyclisme (FIM). Independent motorcycle racing events have been held since the start of the twentieth century and large national events were often given the title Grand Prix. The foundation of the Fédération Internationale de Motocyclisme as the international governing body for motorcycle sport in 1949 provided the opportunity to coordinate rules and regulations in order that selected events could count towards official World Championships. It is the oldest established motorsport world championship.Grand Prix motorcycles are purpose-built racing machines that are unavailable for purchase by the general public and unable to be ridden legally on public roads. This contrasts with the various production-based categories of racing, such as the Superbike World Championship and the Isle of Man TT Races that feature modified versions of road-going motorcycles available to the public. The current top division is known as MotoGP since 2002 when the four-stroke era began. Prior to that, the largest class was 500cc, both of which form a historical continuum as the official World Championship, although all classes have official status.
The championship is currently divided into four classes: Moto Grand Prix, Moto2, Moto3 and MotoE. The first three classes use four-stroke engines, while the MotoE class (new in 2019) uses electric motorcycles. The 2019 MotoGP season comprises 19 Grands Prix, with 12 held in Europe, three in Asia, two in the Americas, and one each in Australia and the Middle East.
The most successful rider in Grand Prix history is Giacomo Agostini with 15 titles and 122 race wins. In the top-flight series, Agostini holds the title record with eight, followed by active riders Valentino Rossi with seven and Marc Márquez with six. As of 2019, Rossi holds the record for most top-flight race wins with 89.

View More On Wikipedia.org
  1. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Profesa Tibaijuka na Masiringi ogeni maji ya moto mlale, mnajisumbua kuzunguka nae huyo sio wenu ni wa akina Bashiru Ally wa CUF

    Leo hii inafanyika mkutano wa HADHARA wa KISIASA pale mleba Proffesa Tibaijuka hakumbukwi hata kupewa mic asalimie kudadeki kila zama na zama zake Yaani mtu kama Masiringi Leo hii hapewi mic kuwatukana alivyozoea hii ni WITO kwao waache kujipendekezaogeni maji mlale CCM ya sasa ni ya Bashiru wa...
  2. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas walijaribu kwenda maeneo yasiyoruhusiwa walikipata cha moto!!

    Vifaru vya IDF vinawafyatulia risasi Wanajihadi wa Nazi huko Gaza ambao wanajaribu kutembea kuelekea kaskazini mwa Gaza. Hawaruhusiwi kwenda kaskazini zaidi kutoka hapo walipo.
  3. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Makonda: Nikiingia bungeni moto utawaka, nitapiga spana watu mpaka kitaeleweka

    Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema endapo atashinda uchaguzi na kuingia bungeni, ataweka nguvu kubwa katika kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kutekeleza Ilani ya CCM ya mwaka 2025–2030. Makonda amesema anatarajia kutumia nafasi hiyo...
  4. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale MITSUBISHI RVR ya moto sana iko sokoni

    Bei/Price TSH 21.8M Call +255 747 999 927 MITSUBISHI RVR Year: 2010 Engine: 1,780Cc Mileage: 64,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Sport Rims Android Radio Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  5. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale 2013 Land Rover Discovery For Sale ya moto sana

    Bei/Price TSH 95M Call +255 747 999 927 LAND ROVER DISCOVERY 04 Year: 2013 Engine: 2,990Cc Mileage: 56,000+ Fuel Used: DIESEL Transmission: AUTO Sport Rims Twin Sunroof Push To Start 100% Duty Paid Free Registration Swap Deals Allowed
  6. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Moto ulivyozua hataruki kwa abiria daladala ya Gongolamboto Masaki

    Abiria ambao walikuwa kwenye usafiri wa daladala Eicher T 798 EDZ walijikuta katika taharuki baada ya gari hilo ambayo walikuwa wanasafiria kutoka Masaki kwenda Gongolamboto kuwaka moto kwa chini. Moto huyo uligundulika na Wananchi ambao wapo nje ya gari hiyo na kusaidia gari hiyo kusimama na...
  7. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mercedes Benz C200 AMG iko sokoni ya moto sana

    Bei/Price TSH 49.8M Call +255 747 999 927 MERCEDES BENZ C200(AMG VERSION) Year: 2015 Engine: 1,990Cc Mileage: 52,000+ Fuel Used: PETROL Transmission: AUTO Sunroof Sport Rims Leather Seats ======== 100% Duty Paid Free Registration Exchange Possible
  8. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Umewahi kupatwa na tukio kama hili? Moto wateketeza nyumba na mali za wapangaji

    Ni huzuni moto ambao chanzo chake hakijajulikana umezuka na kuteketeza nyumba moja yenye vyumba saba, ikiwa na wapangaji watano katika maeneo ya Gogoni, Kata ya Kibamba, Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, na kusababisha hasara kubwa ya mali za wapangaji waliokuwa wakiishi humo. Hapa kama ni...
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Shikamoo kwa uliyenipa huu Mseto wa Kutukuka kwani kwa Siku 3 tu Wahusika wanakiona cha Moto, ila wanasema Wanafika vizuri sana Kilimanjaro

    Mchanganyiko wa Kitunguu Maji, Kitunguu Swaumu, Tangawizi, Limao, Asali kisha vyote unachanganyia Maji ya Moto.
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila atoa Mil. 100 kuwasaidia Wafanyabiashara wa Kawe baada ya Moto

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amefika kwenye soko la Kawe ambalo limeteketea kwa moto jana usiku na kuahidi kuwapa wafanyabiashara Shilingi Mil. 100 kama sehemu ya kufidia sehemu ya hasara waliyoopata
  11. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kuna tatizo gani magari kuungua moto kila kukicha?

    Kwa sasa nimeona kunaongezeko la magari madogo kuungua moto kila siku. Ndani ya wiki hii nimekutana na magari ya siyo pungua 7 yame ungua moto. Watalaamu shida nini kwenye haya magari ya sasa?
  12. W

    JamiiForums Tanzania Wananchi kuwasha moto mitaani kwenye Maandamano Ufaransa ya kutaka Rais Macron ajiuzulu

    Zaidi ya watu 200,000 wameandamana na mamia wakamatwa nchini Ufaransa Septemba 11, 2025 kufuatia maandamano makubwa ya kitaifa yaliyoanza Septemba 10, 2025 wananchi wakipinga mipango ya kupunguza bajeti na hali tete ya kisiasa nchini humo. Vuguvugu hilo lililopewa jina “Fungeni Kila Kitu”...
  13. figganigga

    JamiiForums Tanzania Mikumi kuwa makini usiku huu, kuna lori linawaka moto

    𝗧𝗨𝗡𝗔𝗢𝗧𝗨𝗠𝗜𝗔 𝗕𝗔𝗥𝗔𝗕𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗕𝗘𝗬𝗔, 𝗠𝗜𝗞𝗨𝗠𝗜 𝗠𝗕𝗨𝗚𝗔𝗡𝗜 𝗞𝗨𝗡𝗔 𝗟𝗢𝗥𝗜 𝗟𝗜𝗡𝗔𝗪𝗔𝗞𝗔 𝗠𝗢𝗧𝗢. 𝗧𝗘𝗠𝗕𝗘𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗛𝗔𝗗𝗛𝗔𝗥𝗜
  14. Moto wa volcano

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ni kama moto yanayakiwa yachochewe ili yaimarike zaidi

    Mapenzi ni kama moto , moto ukiuchochea unakolea zaidi na usipouchochea unazimika , kuna mambo unatakiwa uyafanye ili kuzidisha nguvu kwenye mapenzi yenu yazidi kuimarika yawe bora siku hadi siku .
  15. hamis77

    JamiiForums Tanzania Wazazi kama mna hii midoli, ichomeni moto

    😈🧸 THE DEMON BEHIND THE SMILE: PAZUZU VS LABUBU Katika historia ya kale, watu wengi waliabudu miungu ya uongo kama Ashera, Bali, Zeus, Dagon, Hubal na mingineyo. Leo hii, roho zilezile zimerudi duniani, lakini zimevaa majina na sura mpya ili kuabudiwa na watu bila wao kujua., Huko nyuma...
  16. veyra

    JamiiForums Tanzania Form 4 ya 2008 na 2012 ipi ilikuwa ya moto?

    Et wanaJF kati Ya form Four Ya 2008 na 2012 ipi ilikuwa Ya moto Sana 2008 chini Ya Jumanne Maghembe 2012 chini ya Joyce Ndalichako.
  17. figganigga

    JamiiForums Tanzania Gari yawaka moto Masumbwe Kahama ikiwa na Mchele

    Gar yawaka Moto Masumbwe Kahama ikiwa na Mchele Hapa Mlalahoi anarudisha mpira kwa kipa. Ng'ombe wa masikini hazai
  18. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Kuna Jengo limeshika moto Mitaa ya Aggrey na Sikukuu - Kariakoo muda huu (Agosti 31, 2025)

    Jengo la ghorofa ambalo linaendelea kujengwa limeshika moto majira ya Saa Sita Mchana wa leo Agosti 31, 2025 katika Mitaa ya Aggrey na Sikukuu, Kariakoo, ambapo Jeshi la Polisi limefika na linaendelea na jitihada za kuuzima moto huo.
  19. Clean Energies Group

    JamiiForums Tanzania Usizime Moto wa Gesi, Mafuta au Umeme kwa Kutumia Maji badala yake Tumia Njia Hizi

    USIZIME MOTO WA GESI, MAFUTA AU UMEME KWA KUTUMIA MAJI! Maji yanaweza kusababisha hatari kubwa kama mshtuko wa umeme au mlipuko wa gesi! Tumia dry chemical powder fire extinguisher (ABC) au fire extinguisher inayofaa! Usalama kwanza, jifunze njia sahihi ya kuzima moto...
  20. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Unaagiza bia ya baridi sana alafu unakanayo nuusu saa haijaisha si bora ungeagiza ya moto

    niko maeneo ya makirikiri kibaha kwa Mathias Sehemu ya kubadili finra na mawazo Kaja kijanannanwenzie wanaagiza kwa masharti tupe za baridii sana Mpaka sasa nusu saa wanazo hizo bia si bora wa wangeagiza za moto tu Kama na wewe una tabia ya kukaa na bia moja bar agiza ya moto N matumizi...
Back
Top Bottom