Habari wakuu,
Anatafutwa mtaalam wa kudevelop mobile application na website.
Ikiwa una nia na ujuzi wa kutosha, tafadhali wasiliana nasi.
Tunatarajia kusikia kutoka kwako haraka iwezekanavyo.
Asante na tunatarajia ushirikiano mzuri.
Mawasiliano yetu:
Bright and Genius Editors...
Job no: 496269
Work type: Regular Full-Time
Location: Tanzania – Dar es Salam
Categories: Strategic Information/Surveillance/Monitoring & Evaluation
ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City...
Unapata shida kusafirisha mizigo, bidhaa, kwasababu hujui wapi unapata gari, hujui gharama za kusafirishia,
au unapigwa na watu wa kati na hujui jinsi mambo yanavyofanyika?
Kwanini upigwe kwa bei za ajabu? Kwanini usifanye mwenyewe?
USIISHI KIZAMANI
Mambo yamebadilika, kuanzia leo...
Katika kipindi hiki cha ugonjwa wa corona, ambapo wengi wetu tupo nyumbani, moja ya changamoto kubwa tunayokutana nayo kununua mahitaji ya kila siku ya nyumbani kama vile vyakula, mboga mboga na vinywaji. Kwa kulijua hili kampuni ya Selcom wametuletea application inayoitwa Dukadirect...
Salamu wandugu.
Nimeombwa na marafiki ambao wanatafuta kuwekeza kwenye innovation/incubation of ideas and local product development. For artist, technologists, engineers, application developers, etc.
The Idea ni kuwa na sehemu ambayo itawapa fursa like-minded people kubadilishana mawazo na...
Hello, I have made a mobile app to buy bus tickets in Tanzania. I would like to know what you guys think. What would you improve? Find the link below:
gopamoja.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.