mjumbe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Artifact Collector

    Shaffih Dauda ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa TFF, malalamiko angepeleka TFF

    Adhabu aliyopewa Shaffih ni kubwa sana lakin ukifuatilia hili sakata utagundua Shafii anakosea sana wewe ni mjumbe wa mkutano mkuu mda uko bize kuniponda TFF kama ni malalamiko angeyapeleka TFF na sio mitandaoni. Shafii angetakiwa ajiuzulu ujumbe wa mkutano mkuu wa TFF ili awe na uhuru wa...
  2. T

    Mwenyekiti wa CCM kampa nafasi mwanachama na mjumbe mwenzake kama anatosha kuendelea na kuamua kujihukumu mwenyewe kabla hajahukumiwa

    Ukiona bosi wako kaamua kukufikishia ujumbe kwa uchungu na tena ikizingatiwa ana moyo wa nyama ni dhahiri anakupa nafasi ya kujipima na kujihukumu mwenyewe. Na mara nyingi njia hii hutumiwa na mkosaji ili kulinda heshima na urafiki wao( Rejea kuondoka kwa waziri mkuu 2008) Kwa mamlaka yake...
  3. S

    Sitashangaa kuona Mzee Rugemalila akiteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi katika mojawapo ya taasisi zetu

    Kama sheria inaruhusu, na kama mzee huyu ana sifa na vigezo vinavyotakiwa, basi stashangaa kuona akiteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi wa mojawapo ya taasisi zetu hapa nchini. Lakini kwakuwa hata utawala wa sheria hauzingatiwi, bado tu anaweza kulamba uteuzi hata kama sifa hana. Hivi ndivyo wenzetu...
  4. K

    Tunakwenda wapi? Gachuma awamu ya tano Mwalifu, awamu ya sita mjumbe bodi ya TANESCO

    Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana. Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu...
  5. beth

    Mjumbe maalum wa Marekani nchini Haiti, ajiuzulu

    Mjumbe maalumu wa utawala wa rais Joe Biden nchini Haiti amejiuzulu kwa kupinga kile amechosema kufukuzwa bila kujali utu kwa wahamiaji wa taifa hilo pindi wanapoingia Marekani. Haiti ni nchi ambayo imekumbwa na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na mafaa ya majanga, maafisa wamesema Alhamisi...
  6. beth

    Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Mjumbe Maalum wa Rais wa Sudan Kusini

    Mjumbe Maalum wa Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini, Balozi Albino Ayurl Aboug amesema Taifa hilo linaomba kutumia Bandari ya Dar kusafirisha mizigo yake‬ ‪ ‪Ameeleza hayo leo Ikulu Dar baada ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan na kuongeza kuwa Sudan Kusini bado inahitaji Walimu wa kufundisha...
  7. Kipenzi Changu

    Kihamia: Mjumbe wa Kamati Tendaji Ajiuzuru

  8. Linguistic

    Askofu Gwajima na Jerry Silaa wasimamishwa Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge

    Wakuu Wabunge Josephat Gwajima (CCM, Kawe) na Jerry Silaa (CCM, Ukonga) ambao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge wameondolewa kwenye kamati hiyo hadi itakapoamuliwa vinginevyo. Nini Kitatokea mbeleni Tungoje, Kwa Mtindo Huu Wanaweza Hata Kupewa Adhabu ya...
  9. S

    Jafari Kubecha aitaka ACT Wazalendo kuteua vijana makini

    Na Mwandishi wetu, Dodoma Mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm Nec kupitia vijana Jaffari Kubecha amekitaja chama cha Act Wazalendo kiteue watendaji vijana makini wenye maono, upeo na kufanya upambanuzi katika kujadili na kujibu hoja za kisiasa kwa uyakinifu bila kuingilia mambo ambayo aidha...
Back
Top Bottom