Awe mkweli tu amemkwepa aliyewaita Yanga wote hamnazo kasoro Kikwete na baba yake Mzee Manara. Ila hongera zake hakutaka kuwa mnafiki na amechukua maamuzi ya busara sana kwa upande wake.
Amefanya kitendo cha kiungwana na cha kijasiri! Hata nyinyi kuna kiongozi wenu (sijui ni Magori yule) alijiuzulu urais wa klabu baada ya Mo wenu kukabidhiwa timu, na kuanza kuwapelekesha watu alio wakuta kama magari mabovu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.