Salaam wakuu! Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, katika mihangaiko yako ya maisha ya kila siku, umewahi kwenda sehemu kupata huduma fulani na ukaletewa nyodo na mhudumu husika, kwa sababu tu aidha mmiliki ni mpenzi wake, au vyovyote?
Karibuni!
Habari.
Natafuta Fulltime Mhudumu wa nyumbani wa kumhudumia Baba Mzee.
Mzee anahitaji kusaidiwa huduma zote kwani ni mhanga wa Stroke.
Sifa za Mhudumu.
- Awe ni mzoefu wa kuhudumia wazee au watu wasiojimudu kujihudumia
- Awe ni mtu mwenye Upendo na uvumilivu.
- Mhudumu wa Kike atapewa...
Hello,
Anahitajika binti, mdada au mwanamke wa kufanya kazi kama mhudumu na msaidizi wa mama ntilie
Ajue kupika vyakula mbalimbali
Ajue kuhudumia wateja na awe na lugha nzuri kwa wateja.
Eneo la kazi ni Tabata reli Karibu na Chuo cha ualimu Saint mary.
karibu pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.