Kama tatizo lipo kwa mpesa yake hawezi kusaidiwaNenda kwa wakala wa Mpesa. Wao wanaongea nao direct.
Mi niliibiwa laini, nikatumia namba ya wakala mshikaji wangu, wakaifungia ile laimi kupiga na Mpesa. Mwezi uliopita wa 12.Kama tatizo lipo kwa mpesa yake hawezi kusaidiwa
umenifanya nicheke...kwa hiyo mhudumu angekuambia upige kwa laini iliyoibiwa?Mi niliibiwa laini, nikatumia namba ya wakala mshikaji wangu, wakaifungia ile laimi kupiga na Mpesa. Mwezi uliopita wa 12.
Kumfikia mtoa huduma ni mpaka waziri nape atoe tamko
namaanisha ukipa 100 inakuoa option yofauyitofauti lakini sifiki kuongea na mtoa huduma iwapo options hizi hazinipi majibu..ando hapo nwomba msaadajitahidi tu kubonyeza zile namba mkuu maana hizo namba zingekuwepo, sidhani kama kuna mtu angeipiga hiyo 100
namaanisha ukipa 100 inakuoa option yofauyitofauti lakini sifiki kuongea na mtoa huduma iwapo options hizi hazinipi majibu..ando hapo nwomba msaada
Labda baadhi ya line mana hata vifurushi vya bando mi na wife tuna tofautiana japo wote mtandao mmojambona mimi mara zote nikibonyeza hizo namba mwishoni zitanambia kuwa nibonyeze namba ya kuongea na mtoa huduma wao. Ukiona inakusumbua sana ni kheri uende kwenye matawi yao mkuu