Mchengerwa, Makonda; Nyani na Ngedere
Hoja za ufisadi katika ujenzi wa miradi ya maendeleo Arusha iliyotolewa na Mrisho Gambo haitakiwi kujibiwa na Waziri wa TAMISEMI, Mohammed Mchengerwa au Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda.
Mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo aliibua tuhuma za ufisadi matumizi...