Nimepanga kwenda Matembezi Baada ya Mwezi wa 6
Nataka Niwe uko kwenye huo mkoa kwa Siku 20 au kama zitazidi pia Ni jambo Jema.
Naomba isiwe mikoa hii.
1.Musoma/ Mwanza, hapana, kwa Baba yangu( Ndugu Wengi wapo mikoa hiyo.
2. Lindi Hapana kwa mama Yangu 3.Mtwara, masasi, Iringa,
njombe,MBEYA...