martha karua

Martha Wangari Karua (; born 1957) is a Kenyan politician and an advocate of social justice. She is currently the running mate for Azimio candidate Raila Odinga for kenyas' presidential elections set for August this year. She is a former long-standing member of parliament for Gichugu Constituency and an Advocate of the High Court of Kenya. She was Minister for Justice until resigning from that position in April 2009. Karua has consistently fought for the protection of women's rights and improvements to the democratic process.

View More On Wikipedia.org
  1. funaku

    Trending :Kurejeshwa kwa Martha Karua na muitikio wa media huru za Kenya

    Inaonekana Ujumbe Sahihi umefika kwa nyakati sahihi. KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
  2. The Palm Beach

    KTN News: Martha Karua aeleza kwa undani sababu za kuzuiliwa kuingia Tanzania akiwa Airport na kisha kuwa "deported" kurudi Kenya

    https://youtu.be/5HU2fES7Es0?si=ZkHkhXfQQh61TLt3 Mahojiano yamefanyika Kwa lugha ya Kiingereza.. Kwa ufupi sana Martha Karua anasema: • Tulitoka Kenya na wenzangu kwenda DSM Tanzania ili kufuatilia kesi ya Tundu Lissu... • Tulipofika Airport DSM, tulikuwa detained hapo hapo Airport. Hatukuwa...
  3. Heparin

    PreGE2025 Chama cha Wanasheria Kenya chakerwa na Serikali ya Tanzania kuwauzia Martha Karua na wenzie kuingia nchini. Chadai ni tendo la dharau kubwa kwa haki

    Chama cha Wanasheria wa Kenya (LSK) kimeeleza kukerwa sana na kitendo cha kinyume cha sheria, kisicho na msingi, na cha kiholela cha kuwazuia kuingia nchini Tanzania wanachama wao wawili, Bi. Martha Karua na Bi. Gloria Kimani, pamoja na Bi. Lynn Ngugi, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...
  4. msuyaeric

    Hoja sita juu ya Martha Karua kuzuiliwa kuingia nchini

    Na Adv. Heche, Dodoma Leo, tarehe 18 Mei 2025, mawakili Martha Karua, Gloria Kimani na Lyn Ngugi wamezuiwa kuingia nchini wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam. Kama wakili mwenye uzoefu na niliyeapa kutetea Katiba na uhuru wa mahakama bila kuegemea upande wowote...
  5. Damian Wayne

    PreGE2025 Martha Karua wa Kenya ameshikiliwa Tanzania kabla ya kesi ya mahakamani ya Tundu Lissu

    Mwakilishi wa Kenya, mwanasheria na mtetezi wa haki za binadamu Martha Karua amekamatwa Tanzania alipoingia katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, tarehe 18 Mei 2025. Alikuja kumwakilisha kiongozi wa upinzani Tundu Lissu ambaye anakabiliwa na mashtaka ya kusaliti nchi ya...
  6. Heparin

    Umoja wa Mawakili Afrika (PALU) walaani kukamatwa kiholela na kufukuzwa Nchini kwa Martha Karua na Gloria Kimani, waitaka Tanzania kuomba radhi

    Umoja wa Mawakili wa Afrika (PALU) umetoa taarifa kulaani kukamatwa kiholela na kufukuzwa kwa mawakili wawili wa Kenya Martha Karua na Gloria Kimani pamoja na mwanaharakati Lynn Ngugi, walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam. Watatu hao walikuja...
  7. Crocodiletooth

    Rais wangu, kupitia uzi wangu Martha karua aruhusiwe, haya ndiyo yanayokuja, poor analystologist!....

    Hakika sifurahi kwa hili, jamani, tuliosomea haya tupo wengi mitaani and we know much in deep, ten step ahead!
  8. Papaa Mobimba

    PreGE2025 Wakenya (Martha Karua na wenzake) waliokuja Tanzania kushuhudia kesi ya Lissu warudishwa wakiwa uwanja wa ndege Dar

    Waziri wa zamani wa Sheria nchini Kenya, Martha Karua, ameeleza masikitiko yake baada ya kuzuiwa kuingia nchini Tanzania akiwa na watetezi wengine wa haki za binadamu na mawakili wenzake, Lynn Ngugi na Gloria Kimani. Kupitia ujumbe alioweka kwenye mitandao ya kijamii siku ya Jumapili asubuhi...
  9. Crocodiletooth

    Martha Karua aruhusiwe kuingia na aendelee na harakati zake, kuzuia ni doa Afrika Mashariki

    Ombi langu mamlaka zimruhusu aingie aendelee na shughuli zake, afrika ya mashariki ni moja, hasa Tanzania, Kenya na Uganda, issue ndogo ndogo za kila lissu na wanaharakati wengine zisitukwaze tukaja haribu sifa ya taifa letu, as I spoke mimi CCM damu, lakini hili liachwe liendelee, na waendelee...
  10. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Wasira: Martha Karua kama anadhani anaweza kushughulika na migogoro, aende DRC au ashughulikie matatizo ya Kenya

    Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Stephen Wasira amemkosoa vikali mwanasheria na mwanasiasa wa Kenya, Martha Karua, kwa kile alichokitaja kuwa ni kuingilia masuala ya ndani ya Tanzania, hususan kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu...
  11. Heparin

    PreGE2025 Mwanasheria Martha Karua atua Kisutu kutoka Kenya kumpambania Tundu Lissu

    Wakili Mpale Mpoki anayeongoza jopo la Mawakili wa Kumtetea Tundu Lissu ameimbia mahakama kuwa leo kuna observe kutoka Kenya Wakili nguli Martha Karua. Lakini pia yupo Wakili Ferdinand Makore na Michael Lugina kwa upande wa utetezi. Martha Karua ni mwanasiasa mashuhuri wa Kenya, wakili wa...
  12. Erythrocyte

    Mdude Nyagali akutana na Martha Karua

    Mpigania Uhuru wa Tanzania, Mdude Nyagali amekutana na kufanya Mazungumzo na Mwanasiasa wa Kenya Martha Karua. Taarifa kamili hii hapa Nimefurahi kukutana na Matha Karua, kiongozi wa People's Liberation Party (PLP). Matha Karua ni kama Winnie Mandela wa Kenya kwa sababu kipaumbele chake ni...
  13. Singo Batan

    Kenya2022 Bi. Martha Karua na siri ya Ushindi wa Urais wa Mzee Raila (Baba)

    Nchi ya Kenya inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais wa awamu ya 5 mapema mwezi Agosti 2022. Duru za uchaguzi zinaonesha kumpa nafasi zaidi Bwana Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo. Idadi kubwa ya Wapiga kura wa Kenya, wana imani zaidi na kambi ya Mzee Raila sio kwasababu ya...
  14. Kenyan

    Kenya2022 Raila, Karua: This is How We Will Lower Cost Of Living Within First 100 Days In Office

    Azimio la Umoja One Kenya coalition party presidential candidate Raila Odinga and his running mate Martha Karua now say they will lower the cost of living in Kenya within their first 100 days in office, if elected to the house on the hill at the August 9 polls. This comes after a recent report...
  15. MUTUYAMUNGU

    Kenya2022 Siasa za Afrika na maajabu ya Martha Karua

    Huyu mama ni mgombea mwenza wa Baba Rails Omolo Odinga. 1. Ni mwanasheria kitaaluma. 2. Waziri wa muda mrefu ILA 3. HAAMINI KAMA KUNA MUNGU WALA HAJAWAHI KUKANYAGA MSIKITINI WALA KANISANI. 4. YUPO SINGLE ANAENJOY HAJAWAHI KUOLEWA, HANA MTOTO WA KUWA NA MCHUMBA. YAJAYO YANAFURAHISHA.
  16. Chachu Ombara

    Kenya2022 Martha Karua ateuliwa kuwa mgombea mwenza wa Raila Odinga

    Akizungumza katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Kenyatta, Bw Odinga alimsifu Bi Karua kwa bidii na rekodi yake ya haki za binadamu. "Nilimhitaji Joshua wa kweli kwenye kando yangu, ambaye hatakuwa koti la ziada. Baada ya kutafuta na kutafakari, pamoja na mashauriano, nimefikia uamuzi...
Back
Top Bottom