Māngungu Mission was the second mission station established in New Zealand by the Wesleyan Missionary Society. Located near Horeke, in the Hokianga Harbour, it was founded in 1828 by the missionaries John Hobbs and James Stack after the first WMS mission station in the country had been sacked the previous year. Māngungu Mission was abandoned in 1855 when Hobbs, the sole missionary at the site, relocated to Auckland. The residence that Hobbs built and lived in at the mission has been preserved by Heritage New Zealand and is now a museum.
Yanayoendelea kuhusiana na Mangungu ni kuvunjiwa heshima yake
Kawaida hali kama hii ikishatokea basi njia sahihi ni kujiuzulu kwasababu kuendelea kuongoza matokeo yake ni kuzidi kuvunjiwa heshima
Heshima ni jambo la msingi sana pasipo heshima hakuna uwezekano wa kuongoza watu
Wanaomvunjia...
Hongera sana mwananchi, Jasusi la ukweli, hakika unaifanya kazi yako kwa ufanisi ulio tukuka. Hongera sana mzee Mangungu, hongera waliomfanyia scouting na kumsajili pale Simba.
Kwa mujibu wa katiba ya Simba viongozi wote wa kuchaguliwa wanafika ukomo mwezi huu mwishoni.
Hadi sasa wanasimba hatuoni dalili yoyote ya uchaguzi tukimaanisha hakuna kamati iliyotangazwa kwa mujibu wa katiba kuendesha zoezi hilo kuanzia hatua za awali ambazo ni kutangazwa tarehe ya uchaguzi...
Hapo vip!
Kuna jambo halipo sawa kwa wachambuzi na wale watu wanaokoments sana kwenye posts mbalimbali zinazo usiana na posts za Simba.
Kutokana na matokeo mabaya ya Simba kwenye club bingwa ni wazi yakwamba kocha anachangia kwa asimia 70 matokeo yale kwasababu:
1.kocha anakurupuka tu anampanga...
Kwahiyo Mangungu ndiyo aliwaambia akina Kibu Denis na Nuksi Shomary Kapombe wakose yale Magoli ya wazi na ndiyo pia aliwaambia Mabeki wawe Wazembe katika Kukaba kiumakini hadi Pacome akatufunga?
Yanga inacheza Kitimu Simba kizembe.
Hahahaaaa ukistaajabu ya polepolee utafurahia ya mangungu
mwenyekiti wa Simba ameibuka na kusema hawahusiki kabisa na swala la kuvuja jezi
kama viongozi walifanya sehemuyaoo na kama kuna ivujujaji wa jezi vasi waulizwe wengine nasio viongozi wa Simba
swali la 1
Unasema kama kuna uvujaji...
Habari Wana Sports,
Kiukweli mwaka huu Arsenal imefanya sajili Bora sana ingizo la striker Victor ndani ya Chama letu inatupa confidence ya kusepa na makombe mwaka huu.
Imagine Victor yupo pale mbele left Kuna TEMINADO SAKA right MADUEKE.
Declan Rice anakichafua Dimba la chini na juu pale...
Dk Mo ana uhakika gani kuwa wanasimba wangapi hawamtaki Mangungu?
Mangungu amechaguliwa na Mkutano Mkuu kuwa mwenyekiti, hawezi kuondolewa na Dk mo kihuni kwa makosa ambayo hayana ushahidi. Yaani wajumbe woooote hawana akili kumchagua Mangungu. Kama vile inageuka vita ya kibiashara na GSM...
Tafadhali sana yeyote mwenye access ya kumpata mzee Mangungu amfikishie hii habari.
Mangungu wewe ni shujaa wetu unaipenda Simba kuliko Mo Dewj. Tafadhali tusajilie wachezaji bora achana na porojo za Mo, tena mfukuze ikibidi tutaaibika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.