mamydeny

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ujumbe maalum kwa Rais Samia kuhusu uzembe unaofanywa na wafanyakazi wa Bandari Jijini Dar

    Wana Bahati sana hawa Wafanyakazi wazembe wa Bandari mjini Dares-Salaam. Laiti kama ningelikuwa ndio mimi Rais wa nchi ninge wasimamisha kazi na huku uchunguzi unafanyika na ikibainika maneno anayo yasema huyu mfanya biashara kijana ni maneno ya ukweli basi ningeliwafukuza kazi wote wanao...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kucha Zako Za Mikononi Zinavyoweza Kuonyesha Afya Yako jinsi ilivyo Tuwe Makini Sana kuchunguza Afya Zetu.

    Hakuna Nusu ya Mwezi kwenye kucha inamaanisha tezi dhaifu Ambayo inaweza kusababisha mabadiliko ya hali ya unyogovu kupata uzito na kukonda kwa nywele. Kucha kukatika kama nyufa kama kwenye misumari inaweza kuonyesha Dalili ya ugonjwa wa ngozi Kucha kuwa na rangi nyeupe huonyesha matatizo...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    My birthday is today. Leo ndio sikukuu yangu ya kuzaliwa, karibuni marafiki zangu

    My birthday is today. Leo ndio sikukuu yangu ya kuzaliwa, ninamshukuru Mungu kwa kunifikisha kuiona siku yangu ya leo ya kuzaliwa. Karibuni wote tupate kushereheke sikukuu yangu ya kuzaliwa.
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mfumuko wa bei ya Uturuki huongezeka hadi 36%, kuweka rekodi mpya kwa zama za Erdogan

    Turkey's inflation soars to 36%, setting a new record for Erdogan era. Istanbul (CNN Business)Turkey's annual rate of inflation has hit a 19-year high as a currency collapse sends the cost of imports soaring. According to the Turkish Statistical Institute, consumer prices soared 36% in...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Wasafiri Uwanja wa Ndege Dar, Walalamikia utaratibu wa kupimwa corona

    Download 720 Waziri wa Afya anatakiwa kubadilisha utaratibu mbaya unaofanywa Mjini Dares-Salaam Airport. kuhusu Wageni ama sivyo Mwaka huu Tanzania itakosa wageni wengi na pato la Taifa kuhus wageni litashuka. Sikiliza hiyo video. ==== WASAFIRI katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...
  6. Tuko

    Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Wapo watu ambao wanasumbuliwa na tatizo sugu la chunusi, madoa doa na kuharibika kwa ngozi. Ingawa chunusi hizi mara nyingi hutikea usoni, wakati mwingine hutokea pia katika maeneo tofauti ya mwili. Kwa bahati mbaya baadhi ya waathirika wa chunusi wamejikuta wakitumia madawa mengi bila...
Back
Top Bottom