Wana Bahati sana hawa Wafanyakazi wazembe wa Bandari mjini Dares-Salaam. Laiti kama ningelikuwa ndio mimi Rais wa nchi ninge wasimamisha kazi na huku uchunguzi unafanyika na ikibainika maneno anayo yasema huyu mfanya biashara kijana ni maneno ya ukweli basi ningeliwafukuza kazi wote wanao...
Hakuna Nusu ya Mwezi kwenye kucha inamaanisha tezi dhaifu Ambayo inaweza kusababisha mabadiliko ya hali ya unyogovu kupata uzito na kukonda kwa nywele.
Kucha kukatika kama nyufa kama kwenye misumari inaweza kuonyesha Dalili ya ugonjwa wa ngozi
Kucha kuwa na rangi nyeupe huonyesha matatizo...
My birthday is today. Leo ndio sikukuu yangu ya kuzaliwa, ninamshukuru Mungu kwa kunifikisha kuiona siku yangu ya leo ya kuzaliwa. Karibuni wote tupate kushereheke sikukuu yangu ya kuzaliwa.
Turkey's inflation soars to 36%, setting a new record for Erdogan era.
Istanbul (CNN Business)Turkey's annual rate of inflation has hit a 19-year high as a currency collapse sends the cost of imports soaring.
According to the Turkish Statistical Institute, consumer prices soared 36% in...
Download
720
Waziri wa Afya anatakiwa kubadilisha utaratibu mbaya unaofanywa Mjini Dares-Salaam Airport. kuhusu Wageni ama sivyo Mwaka huu Tanzania itakosa wageni wengi na pato la Taifa kuhus wageni litashuka. Sikiliza hiyo video.
====
WASAFIRI katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...
Wapo watu ambao wanasumbuliwa na tatizo sugu la chunusi, madoa doa na kuharibika kwa ngozi. Ingawa chunusi hizi mara nyingi hutikea usoni, wakati mwingine hutokea pia katika maeneo tofauti ya mwili.
Kwa bahati mbaya baadhi ya waathirika wa chunusi wamejikuta wakitumia madawa mengi bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.