Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Suma Ikenda Fyandomo amesema kuwa Askari Polisi Wilaya ya Kyera wanaishi kwenye bwalo ambalo walilijenga kwa nguvu zao wenyewe, lakini pia wanaishi pamoja na familia zao, lakini hivi karibuni wameongezewa askari wengine 30 ambao nao wanaishi kwenye bwaro hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.