Ukumbi wa Super dome ulishangazwa na tukio la majiz,tajiri wa EFM na ETV kutinga ukumbini na nguo za bei chee pale tandale ambapo mgeni rasmi alikuwa rais Samia Suluhu Hadsan,
Jamaa alitinga T shirt ya 10,000 jeans ya 20,000 na sandal za 8000
sasa chawa wake na wafanyakazi wake walivyolipuka...