Baada ya hayati Magufuli kujitahidi kushawishi Taasisi ya Mahakama kuanza kazi ya kutunga sheria na utaratibu wa mahakama ya Mafisadi,inaonesha nchi haikuwa tayari kulipokea wazo hilo kwani hadi hivi sasa hatujaona Mtu akifunguliwa mashtaka ya ufisadi na huenda kwa sababu wenye Mali ndiyo walaji...
Mara baada ya Rais John Pombe Magufuri kuapishwa, Kashi kashi na mbwe mbwe za kiutawala zikaanza...
Tumbua tumbua, ziara za kushtukiza, kugawa mabunda ya Fedha hadharani kwa watu binafsi na taasisi za umma zenye uhitaji ni baadhi ya mambo tuliyoyashudia ktk utawala wake Marehemu JPM.
Kama...
Heshima kwenu wakuu,
Brig. Jen. John J. Mbungo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU leo siku ya Ijumaa saa 7:00 mchana PCCB House Upanga, ataongea na vyombo vya habari.
Tutatoa updates kwa kila kinachojiri.
====
UPDATES:
Brig. Jen. John J. Mbungo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu Takukuru akizungumza...
Kwa Masikitiko Makubwa Kabisa!
Japo Waziri wa Mambo ya Ndani aliamua kujitoa akili na kuonesha Immaturity mbele ya kadamnasi kwa kuongea vitu ambavyo kimsingi alikuwa akijielewa mwenyewe.
Hata hivyo, halikumzuia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi...
Watu wanaitazama Tanzania kwa jicho lingine. Labda huu nao ni ubunifu wa Utawala na pengine ni mafanikio miongoni mwa mafanikio.
Watawala walianza na kile kilichoitwa kutumbuwa mafisadi na kuwasekwa ndani waliotuhumiwa. Mara ikaundwa mahakama ya Mafisadi na kutangaziwa kiama mafisadi wote...
Watu wanaitazama Tanzania kwa jicho lingine. Labda huu nao ni ubunifu wa Utawala na pengine ni mafanikio miongoni mwa mafanikio.
Watawala walianza na kile kilichoitwa kutumbuwa mafisadi na kuwasekwa ndani waliotuhumiwa. Mara ikaundwa mahakama ya Mafisadi na kutangaziwa kiama mafisadi wote...
Ni nani ambaye hakusikia vita vya ufisadi jinsi vilivyo beba agenda ya ccm kwenye uchaguzi was 2015 ?, Ni nani ambaye hakusia matusi makubwa na ya ajabu na hata kufikia kutoa matusi ya nguoni yakitoka katika vinywa vya wana ccm yakiwalenga watu flani waliowakimbia na kujinga upande wa wapili...
Itifaki imezingatiwa!
Kwanza hongera mkulu wa nchi kwa kuyashughulikia haya majizi ya nchi hii, yenyewe ndiyo yanalizamisha taifa hili kiuchumi, "hongera"
Jana ilishuhudiwa mapapa ya "Escrow" yakipandishwa kizimbani "Rugemalila" na "Sethi", ilikuwa ni mahakama ya hakimu mkazi "Kisutu" kama...
Mahakama ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini maarufu kama Mahakama ya Mafisadi, hii leo tarehe 14.11.2016 imesikiliza kwa mara ya pili kesi yake ya kwanza inayowakabili watanzania wawili na raia mmoja wa China.
Kesi hiyo ya kwanza katika mahakama hiyo imesikilizwa kwa mara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.