Habari ndugu zangu wa Tanzania.
Kwa jina la Hifadhi au Kificho naitwa Mr. X, na napenda kujitambulisha kwa jina hilo huku nikificha taarifa zangu zote za elimu, umri, na anuani ya makazi. Hata hivyo, niweke wazi tu kwamba mimi ni Mtanzania mwenye asili ya Tanganyika.
Nina jambo muhimu sana...
Akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 25, 2025 Wakili Peter Madeleka ambaye pia ni Mgombea Ubunge Jimbo la Kivule Kupitia Chama cha ACT Wazalendo ameelezea muenendo wa Mahakama nchini inavyoendeshwa kinyume na katiba na kutotoa haki kwa wananchi
" Hakuna utu kama hakuna haki...
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche amesema kuwa Kenya ni miongoni mwa mataifa yenye demokrasia nzuri na mahakama huru akieleza kuwa nchi hiyo haipo tena kwenye vita ya kuteka na kuua raia bali wapo kwenye vita ya kiuchumi.
Ameyasema hayo leo Septemba 19,2025 wakati akizungumza kwa njia ya...
Hamna Sarakasi yoyote isojulikana inayotumiwa kama sehem ya mbinu ya Jamhuri kuwaumiza Upinzani.
In fact CCM na Serikali yake mbinu zenu zoote zinajulikana .
KESI YA LISSU LAZIMA IANZE TAREHE 24 /4 /2025 Pasipo na kisingizio chochote Cha Kipuuzi.
Kama mtanzania ambaye nimempigia kura Mheshimiwa Lissu mara mbili kwenye chaguzi zilizopita (jimboni na uraisi), naamini hajafanya kosa la uhaini na hayo ni mashtaka ni ya kutengeneza na hewa, THAT BEING SAID sikubaliani na kauli ambazo Mh. Lissu amekua anazitoa kwenye mikutano hivi karibuni...
Hii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country!
---
Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...
Hukumu inayotolewa na mahakama zinaathari kubwa Zinakuwa reference katika kesi mbali mbali zinazotokea na kutolewa uamuzi, katika maisha yetu, zikiwa mbaya zinaleta athari zaidi hata kwa mtoaji hukumu hizo.
Kwa mfano Jaji kasema Kubakwa sio tatizo kwa sababu kajitakia kwa kuwa alitembea usiku...
Ni uzalendo wa maana sana kuitikia wito wa dola, kutii maelekezo, ilani au amri za vyombo vya ulinzi na usalama bila ukaidi, ubishi wala kiburi kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi..
Jitahidi sana uwe Raia mwema siku zote, muungwana, mzalendo, mtiifu kwa sheria na katiba ya nchi, na kutoa...
Tanzania Isiyo na Rushwa: Ni Ndoto au Ukweli?
Utangulizi
Tanzania ni nchi yenye fursa nyingi na uwezo mkubwa. Hata hivyo, nchi yetu pia inakabiliwa na changamoto kubwa ya rushwa. Rushwa ni kizuizi kikubwa kwa maendeleo yetu, kwani inakatisha tamaa uwekezaji, inasababisha ukosefu wa usawa, na...
Makala hii ni muhimu katika kuangazia mienendo mbalimbali ya nchi zinazofuata na kuongozwa na demokrasia na katiba guru Kati ya watawala na watawaliwa, pia makala hii inasisitiza upatikanaji wa demokrasia kupitia misingi iliyowekwa ya haki na usawa kwa wote, Uhuru wa vyombo vya habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.