mahakama huru

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mrxtz2026

    Maoni ya Pendekezo la Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.(Katiba iliyokamilika yote na yenye ujumbe mzito mno) 🇹🇿✅ Tafadhati Usipuuze

    Habari ndugu zangu wa Tanzania. Kwa jina la Hifadhi au Kificho naitwa Mr. X, na napenda kujitambulisha kwa jina hilo huku nikificha taarifa zangu zote za elimu, umri, na anuani ya makazi. Hata hivyo, niweke wazi tu kwamba mimi ni Mtanzania mwenye asili ya Tanganyika. Nina jambo muhimu sana...
  2. R

    GE2025 Wakili Madeleka: Kama watu hawana haki wananung'unika huwezi kutegemea wafurahie unachokifanya, Tunataka mahakama iwe huru itoe haki

    Akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 25, 2025 Wakili Peter Madeleka ambaye pia ni Mgombea Ubunge Jimbo la Kivule Kupitia Chama cha ACT Wazalendo ameelezea muenendo wa Mahakama nchini inavyoendeshwa kinyume na katiba na kutotoa haki kwa wananchi " Hakuna utu kama hakuna haki...
  3. DuaZaMama

    GE2025 Heche: Kenya ni Nchi kiongozi kwa Demokrasia na mahakama huru

    Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche amesema kuwa Kenya ni miongoni mwa mataifa yenye demokrasia nzuri na mahakama huru akieleza kuwa nchi hiyo haipo tena kwenye vita ya kuteka na kuua raia bali wapo kwenye vita ya kiuchumi. Ameyasema hayo leo Septemba 19,2025 wakati akizungumza kwa njia ya...
  4. R

    Mahakama inalalamikiwa kukosa kutenda haki kesi ya Lisu

    Kama hatuna mahakama tuna nini?
  5. Carlos The Jackal

    Jamhuri ihakikishe Lissu anafikishwa mahakamani bila visingizio kama "gari haipo" au "hakimu ana dharura."

    Hamna Sarakasi yoyote isojulikana inayotumiwa kama sehem ya mbinu ya Jamhuri kuwaumiza Upinzani. In fact CCM na Serikali yake mbinu zenu zoote zinajulikana . KESI YA LISSU LAZIMA IANZE TAREHE 24 /4 /2025 Pasipo na kisingizio chochote Cha Kipuuzi.
  6. Binti wa zamani

    PreGE2025 Mdomo huponza kichwa - Tundu Lissu

    Kama mtanzania ambaye nimempigia kura Mheshimiwa Lissu mara mbili kwenye chaguzi zilizopita (jimboni na uraisi), naamini hajafanya kosa la uhaini na hayo ni mashtaka ni ya kutengeneza na hewa, THAT BEING SAID sikubaliani na kauli ambazo Mh. Lissu amekua anazitoa kwenye mikutano hivi karibuni...
  7. mshale21

    Kesi ya Dr. Slaa inaendelea Mahakamani bila yeye kuwepo

    Hii ni mpya kabisa, haijawahi tokea, inakuwaje kesi iendeshwe bila mtuhumiwa kuwepo? Only in my country! --- Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...
  8. M

    Hukumu za Mahakama zina athari kubwa sana hata kwa mtoaji

    Hukumu inayotolewa na mahakama zinaathari kubwa Zinakuwa reference katika kesi mbali mbali zinazotokea na kutolewa uamuzi, katika maisha yetu, zikiwa mbaya zinaleta athari zaidi hata kwa mtoaji hukumu hizo. Kwa mfano Jaji kasema Kubakwa sio tatizo kwa sababu kajitakia kwa kuwa alitembea usiku...
  9. Tlaatlaah

    Ewe Raia mwema wa Tanzania usidanganyike, tii Sheria bila shuruti, zingatia wito na uamuzi wa Mahakama na Wananchi kwa hekima na busara

    Ni uzalendo wa maana sana kuitikia wito wa dola, kutii maelekezo, ilani au amri za vyombo vya ulinzi na usalama bila ukaidi, ubishi wala kiburi kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.. Jitahidi sana uwe Raia mwema siku zote, muungwana, mzalendo, mtiifu kwa sheria na katiba ya nchi, na kutoa...
  10. HONEST HATIBU

    SoC04 Tanzania Isiyo na Rushwa: Ni Ndoto au Ukweli?

    Tanzania Isiyo na Rushwa: Ni Ndoto au Ukweli? Utangulizi Tanzania ni nchi yenye fursa nyingi na uwezo mkubwa. Hata hivyo, nchi yetu pia inakabiliwa na changamoto kubwa ya rushwa. Rushwa ni kizuizi kikubwa kwa maendeleo yetu, kwani inakatisha tamaa uwekezaji, inasababisha ukosefu wa usawa, na...
  11. J

    SoC03 Misingi ya siasa safi

    Makala hii ni muhimu katika kuangazia mienendo mbalimbali ya nchi zinazofuata na kuongozwa na demokrasia na katiba guru Kati ya watawala na watawaliwa, pia makala hii inasisitiza upatikanaji wa demokrasia kupitia misingi iliyowekwa ya haki na usawa kwa wote, Uhuru wa vyombo vya habari...
Back
Top Bottom