Mwigulu amesikika akisema kuwa yeye hana biashara yoyote, hana hata Noah ya biashara!
Kama hana biashara yoyote, basi kwa vyovyote atakuwa mwizi mkubwa!
Aueleze umma, kama hana kitega uchumi chochote, aueleze umma, pesa anayowalipa wale wachezaji wa Timu take ya mpira, anachukua wapi? Maana...