lindi na mtwara

Lindi District also known as Mtama District is one of six administrative districts of Lindi Region in Tanzania. The District covers an area of 5,975 km2 (2,307 sq mi). Kilwa district is bordered to the north by Kilwa District, to the east by the Indian Ocean and Lindi Municipal District, to the south by the Mtwara Region, and to the west by the Nachingwea District. The district seat (capital) is the town and ward of Mtama. The district is known for the Tendaguru Formation, the richest Late Jurassic strata of fossils in Africa.
According to the 2012 census, the district has a total population of 191,143.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Morogoro mvua zinanyesha, kama huna safari ya ulazima kwenda Lindi na Mtwara tulia

    Inajulika miaka mingi mvua zikianza kunyesha ukanda wa Morogoro kwa wingi wanaodhurika na maji ya mvua hizo ni wakazi wa wilaya za Liwale na Kilwa, mkoani Lindi. Kuna wakati mvua zinasababisha barabra kuu ya Mtwara-Dar kufungwa kutokana na kukatika kwa madaraja eneo la Somanga. Sasa kwa mvua...
  2. Zee la madawa

    Watu wa kusini( Lindi na Mtwara) ndiyo watu wanaongoza kuwa na akili Tanzania mzima

    Ndiyo huo uhalisia watu wa kusini hasa hasa Lindi na Mtwara ndiyo watu wanaongoza kuwa na akili Tanzania mzima yaani hawa watu wa kusini ndiyo gamer changer Tanzania mzima tu ila ndiyo hii nchi watu wanakaza mafuvu tu kutokana na ubinafsi wao wewe mtu kama Mkapa ona baada ya kukabidhiwa nchi tu...
  3. Mnyenz

    AseeLindi ni kijijini wazee

    Ila watu wa pale wanaheshimu sana wanafunzi, unaweza ukapishwa seat na mtu size ya dingi yako, kisa tu umevaa t-shirt la lindi seko. Lindi seko ilikuaga poa sana, ni bweni lakini ukiwa mzembe unapangishwa kitanda Pale wanafunzi wameacha sana watoto, maeneo yanayoizunguka shule. Watoto wa...
  4. Nipe Maji

    PreGE2025 Shilingi bilioni 669 kutumika ujenzi wa barabara na madaraja katika mikoa ya Lindi na Mtwara

    Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ametangaza kuwa serikali ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan itatumia kiasi cha Shilingi bilioni 669 kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja katika mikoa ya Lindi na Mtwara kwa lengo la kuboresha usafiri na kuifungua mikoa hiyo kiuchumi. Akizungumza mkoani...
  5. Samia atosha tukutane2030

    Serikali ya Tanzania inawaogopa watu wa LINDI na MTWARA pekee

    Jamii ya wananchi wa mkoa wa Lindi na MTWARA ni jamii nyingine. Huko Arusha mnasema kuna watu wamepinda , yes wamepinda lakini ni kwaajili ya mabange tu na usela mavi. Watu wa kusini ni next level. Serikali ya Tanzania imefanikiwa kudhibiti vyombo vya habari hawawezi kurusha kila kitu . 2013...
  6. Ojuolegbha

    PreGE2025 Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akutana na Wabunge wa CCM Lindi na Mtwara

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, alivyokutana na Wabunge wa CCM kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara, kujadili changamoto ya miundombinu Kusini.
  7. Roving Journalist

    TANESCO yaomba radhi umeme kukatika mara kwa mara Lindi na Mtwara, yasema kuna kazi ya kufunga Mifumo Mipya

    Siku chache baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kuelezea kuhusu kero ya kukatika kwa umeme mara kwa mara Wilayani Masasi Mkoani Lindi, kusoma zaidi bofya hapa ~ Wakazi wa Masasi tuna kero ya umeme kukatika mara kwa mara, tunapata hasara TANESCO shughulikieni hilo , Shirika la Umeme Tanzania...
  8. B

    Hali ya ufuska kwenye minada ya korosho Mtwara na Lindi inatisha

    Nimetembelea minada kadha kadha ya korosho huku kusini. Kuna ufuska wa kiwango cha lami. Wadada kibao wanajiuza huku. Vingine vitoto vidogo kabisa ambavyo sidhani hata kama vina miaka 17. Kwa staili hii Ukimwi utakwisha kweli?
Back
Top Bottom