linauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sonship

    Boma linauzwa Mbezi Msakuzi

    Boma la vyumba 2 Linauzwa Mbezi Msakuzi ni mwendo wa dk 3 kwa miguu kutoka kituo cha mwisho wa hiace zinazotoka mbezi stendi Linauzwa Mln 18 tu maongezi kidogo yapo Ukubwa wa eneo ni 20x23(460 m2) Vyumba 2(Master + single room) Jiko na baraza mbele na nyuma Public toilet na Sebule kubwa sana...
  2. Sonship

    Ofa ya viwanja Kibaha kwa Mathias

    Ofa ya Viwanja Kibaha Kwa Mathias Kidenge B Vipo vya umbali wa km 4-kutoka kituo cha Mathias Lami Vipo vya Km km 6-Kutoka lami Nipazuri sana na huduma zote za kijamii zimefika Bei Ukubwa kuanzia: *million 2 ukubwa 16×13 *Milion 2.5 ukubwa 15×16 *Milion 3 ukubwa 15x19 *Milion...
  3. mtanashati halisi

    Genereta kubwa linauzwa Tsh. 900,000/-

    Genereta aina ya boss kubwa naliuza tsh laki 9 tayar limetumika mwaka ... changamoto ni betri tu
  4. jaytravo

    Plot4Rent Shamba la mitiki linauzwa Tanga Korogwe

    Shamba la mitiki LINAUZWA Mteja ambae uko serious Piga simu tuzungumze 0615636384 Miti iko 1700 Uwekezaji huu utakupatia Kila hekari million 300 Mimi nimeshindwa kuendeleza Karibu umalizie palipo Baki.
  5. mtanashati halisi

    Car4Sale INAUZWA NISSAN JUKE 2011 IKO ZANZIBAR

    🚘2011 Nissan Juke Mileage: low 🛸4wheel Button 🚀Engine capacity:1990 ⛽️Fuel used:petrol 🛣Low mileage 🚔Full document 🚗Very clean condition Bei:14 cash Call/Whatsapp 0718578433
  6. B

    Jiko la plate na umeme linauzwa

    JIKO LA GESI NA UMEME 330 000 maongezi yapo kwa hilo jiko...liko vizuri kabisa....ndo natumia hadi sasa plate mbili gesi, plate mbili umeme napatikana Dsm piga 0683473391 kwa maongezi zaidi
  7. ministrant

    Shamba linauzwa wilaya ya Handeni mkoa wa Tanga

    Shamba linapatikana Kijiji cha Kwa Msangazi, Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga. Shamba lina rutuba ya kutosha halihitaji mbolea ya aina yoyote ile kwa kilimo cha mazao ya chakula na biashara, halikadhalika linafaa kwa shughuli za ufugaji. Shamba lina ukubwa wa Ekari 16 na kila Ekari moja inauzwa...
  8. Dalali wa Mjini

    Eneo linauzwa Bunju A Bagamoyo road

    Eneo linauzwa Bunju A Bagamoyo road. Eneo linatazama barabara kuu ya Lami. Wamiliki WA eneo wapo watatu. Kila mmoja na eneo lake lakini lipo sehemu moja. Mmiliki mmoja anauza milion 300 Mmiliki wa pili anauza milion 300 Wote Hawa wanapunguza Bei kama mkikubaliana. Mmiliki wa tatu anauza...
  9. Kakondele

    Body la Tata Lp 909 linauzwa

    Body la Tata linauzwa Ni namba D Exchange na Toyota Coaster au Ros a vitu vyote vipo kasoro injini,giabox na propela ndio havipo. Bei Mil 15 Lipo kibaha mkoa wa Pwani mawasiliano 0759399805
  10. Sonship

    ENEO LA SHULE LINAUZWA AU KUKODISHWA GOBA MATOSA

    ENEO LA SHULE LENYE MICHEZO YA WATOTO LINAKODISHWA/KUUZWA Eneo la Shule lenye Madarasa kwa ajili ya DAY CARE & NURSERY LINAKODISHWA AU KUUZWA kwa mteja yeyote mwenye uhitaji wa kununua. Eneo hili lenye Ukubwa wa takribani Ekari 2, lipo Dar esalaam Matosa, Goba na lina Madarasa 4,Nyumba 1 ya...
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    Eneo linauzwa 35*35 (1225m²) Boko Basihaya

    Kiwanja kizuri Sana kiko kwenye makazi yaliyopangwa yakapangika, very good neighbourhood. Sifa za kiwanja. Marefu ni meta 35 Mapana ni meta 35. Unaweza ukakiita nuhu hela. Kiko Boko Basihaya, panafikika kirahisi kwa usafiri wa aina yoyote. Bei 50 mil only Mawasiliano:- 0717454455 0767454455
  12. jaytravo

    Shamba lenye miti ya mitiki linauzwa ekari 6 tanga Korogwe

    Shamba lipo Tanga Korogwe ni hekari 6 jumla ya miti ya mitiki ni 2100 Shamba linauzwa pamoja na miti yake kwa milioni 150 dalali ukileta mteja 10% ya kwako miti ina umri wa kuanzia miaka 9 mpaka 14
  13. ommytk

    Eneo linauzwa makongo mwisho kuelekea kanisa katoliki karibu na josam apartment

    Wadau eneo linauzwa lipo makongo mwisho njia kwenda kanisa katoliki lina ukubwa sqm 2231 lina hati ya wizara.halina shida yoyote ni tambalale na bei ya kutupa linuzwa kwa ajili ya shida tu bei ni 300m Karibu
  14. Dalali wa Mjini

    Eneo Linauzwa Goba Half London

    Habari wakuu. Eneo Linauzwa Goba Half London. Umbali Hadi barabara kuu ya Lami ni Mita 600 Sqm 3000 Hati Safi (Title Deed) Bei milion 300 Piga simu 0754693556
  15. Dalali_wa_kimataifa

    Eneo la Viwanda linauzwa

    Plot No. 729 & 730, Block 'A' – CBD Plot 729: 8,912 sqm Plot 730: 7,056 sqm Jumla: 15,968 sqm Eneo lipo ndani ya zone ya viwanda – Kibaha Bei: TZS 1.2 Billion (maongezi yapo) Call/WhatsApp: +255 758 844 717
  16. Dalali wa Mjini

    Eneo Linauzwa Njia ya Goba Kwa Robert

    Eneo hili lipo njia ya koba kutokea Mbezi Magufuli ni karibu Zaidi pia kutokea mjini Kwa njia ya goba ni Sawa pia. Mita 100 kutoka usawa wa eneo hadi barabara kuu ya Goba. Location kituo cha daladala kinaitwa Kwa Robert. Eneo Lina nyumba ambayo anaishi muuzaji wa eneo. Ukubwa wa eneo ni sqm...
  17. kj75

    Pooltable linauzwa

    Wakuu, Habar za leo mabibi na mabwana ni matumaini yangu mu wazima wa afya na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku Kuna pooltable linauzwa bei ni maelewano liko vizur lipo mkoa wa njombe wilaya ya makete kwa mawasiliano 0776736062
  18. A

    Friji friji friji linauzwa

    Aina: Boss Hali: Nzuri sana,bado lina manailoni ya upya,lina miezi 10 toka linunuliwe jipya. Mahali: Mbagala. Sababu: Limekaa tu,halina matumizi. Bei: Tsh.430,000/=(Negotiable kidogo) Mawasiliano: 0785815222
  19. Dalali wa Mjini

    Eneo linauzwa mbezi Luguruni

    Habari wakuu. Eneo linauzwa Luguruni Eneo linaangalia barabara kuu ya Morogoro Road. Sqm 2789 Title Deed Milion 550 Uwekezaji wowote unafaa sababu eneo linaangalia barabarani (MAIN ROAD) 📱0754693556
  20. Last sentinel

    Banda linauzwa

    Helw JF,banda linauzwa laki 5.Lakin halina kitu chochote,umeme upo.Kwa hyo kama unataka kuanza biashara unakuja na vitu vyako,kwa mawasiliano piga 0759-124378,eneo,njeteni karibia na shule ya dar es salaam girls mbezi ya kimara.
Back
Top Bottom