libya

Libya ( (listen); Arabic: ليبيا‎, romanized: Lībiyā), officially the State of Libya, is a country in the Maghreb region in North Africa, bordered by the Mediterranean Sea to the north, Egypt to the east, Sudan to the southeast, Chad to the south, Niger to the southwest, Algeria to the west, and Tunisia to the northwest. The sovereign state is made of three historical regions: Tripolitania, Fezzan and Cyrenaica. With an area of almost 1.8 million square kilometres (700,000 sq mi), Libya is the fourth largest country in Africa, and is the 16th largest country in the world. Libya has the 10th-largest proven oil reserves of any country in the world. The largest city and capital, Tripoli, is located in western Libya and contains over one million of Libya's six million people. The second-largest city is Benghazi, which is located in eastern Libya. The Latin name Libya is based on the name the region west of the Nile (Λιβύη) used by the Ancient Greeks and Romans for all of North Africa, and was first adopted during the Italian colonization since 1911.
Libya has been inhabited by Berbers since the late Bronze Age. The Phoenicians established trading posts in western Libya, and ancient Greek colonists established city-states in eastern Libya. Libya was variously ruled by Carthaginians, Persians, Egyptians and Greeks before becoming a part of the Roman Empire. Libya was an early centre of Christianity. After the fall of the Western Roman Empire, the area of Libya was mostly occupied by the Vandals until the 7th century, when invasions brought Islam to the region. In the 16th century, the Spanish Empire and the Knights of St John occupied Tripoli, until Ottoman rule began in 1551. Libya was involved in the Barbary Wars of the 18th and 19th centuries. Ottoman rule continued until the Italian occupation of Libya resulted in the establishment of two colonies, Italian Tripolitania and Italian Cyrenaica (1911–1934), until they were unified in the Italian Libya colony from 1934 to 1947. During the Second World War, Libya was an important area of warfare in the North African Campaign. The Italian population then went into decline.
Libya became independent as a kingdom in 1951. A military coup in 1969 overthrew King Idris I. The "bloodless" coup leader Muammar Gaddafi ruled the country from 1969 and the Libyan Cultural Revolution in 1973 until he was overthrown and killed in the 2011 Libyan Civil War. Two authorities initially claimed to govern Libya: the Council of Deputies in Tobruk and the 2014 General National Congress (GNC) in Tripoli, which considered itself the continuation of the General National Congress, elected in 2012. After UN-led peace talks between the Tobruk and Tripoli governments, a unified interim UN-backed Government of National Accord was established in 2015, and the GNC disbanded to support it. Parts of Libya remain outside either government's control, with various Islamist, rebel and tribal militias administering some areas. As of July 2017, talks are still ongoing between the GNA and the Tobruk-based authorities to end the strife and unify the divided establishments of the state, including the Libyan National Army and the Central Bank of Libya.Libya is a member of the United Nations (since 1955), the Non-Aligned Movement, the Arab League, the OIC and OPEC. The country's official religion is Islam, with 96.6% of the Libyan population being Sunni Muslims.

View More On Wikipedia.org
  1. Mhafidhina07

    Marekani ipo harakati ya kuitengeneza Libya Nyengine Mashariki ya Kati.

    Mjadala mkubwa kwa sasa ni Operation ya Marekani dhidi ya Iran katika harakati za kuondosha serikali inayoita ya Mkono wa Chuma,ambapo kwa taarifa imesema kuwa imefanikiwa pakubwa kwa wauwa viongozi wa juu(Maamuzi). Lakini binafsi naona hakutakuwa na Mshikamano ndani ya Irani endapo Wairani...
  2. Richard

    Tatizo ni kwamba Iran sio Libya wala Iraq na si Venezuela. Na Itasumbua sana kuuangusha utawala wa Iran kwa sasa

    Mashambulizi yalofanywa na Marekani ikisaidiwa na Israel, yamepiga katika miji 20 kati ya miji 31 ya Iran na hadi sasa hakuna idadi kamili ya watu walokufa. Pia mitandao ya internet yote imezimwa. Mjini Tehran maeneo yote nyeti ikiwemo wizara ya ujasusi yote yameshambuliwa na ndege za kivita za...
  3. Mkalukungone Mwamba

    Mkuu wa Majeshi Jeshi la Libya, Mohammed Ali Ahmed afariki dunia Jumanne baada ya ndege aliyokuwa akisafiria kupata ajali

    Mkuu wa Majeshi ya Jeshi la Libya, Mohammed Ali Ahmed Al-Haddad, amefariki dunia Jumanne baada ya ndege aliyokuwa akisafiria kuanguka muda mfupi baada ya kuondoka katika mji mkuu wa Uturuki, Ankara. Taarifa hiyo imetolewa na Waziri Mkuu wa serikali ya Libya inayotambulika kimataifa, ambaye...
  4. ERTUGRUL BEY

    Tujifunze Kutoka Libya

    My people, 15 - February -2011 Benghazi, Libya Ghasia zilianza rasmi baada ya Utawala wa Muammar Gaddafi kumkamata mwanasheria anayejulikana kwa jina la Fathi Terbil ambaye alikuwa mtetezi wa haki za binadamu Baada ya wananchi kujua hilo tukio walikasirishwa sana,na hapo ndipo Maandamano...
  5. S

    Usiifananishe Tanzania ya sasa na ilivyokuwa Libya kipindi cha M.M.A.M-GADDAFI lazima niipambanie TANZANIA yangu

    WATANZANIA walio wengi hawajaamka , wapo kwenye giza nene
  6. Samia atosha tukutane2030

    Tanzania ina aina ya ulinzi wa tofauti kabisa. Si rahisi kuingizwa kwenye shimo kirahisi kama Sudan au Libya

    Kuna vijana Libya walikuwa front line kuhakikisha Gaddafi anaondolewa Libya bila ya kujua kuwa nyuma yao kuna nguvu ovu inawasukuma. Vijana wengi wa Libya walipambana na serikali yao wakijidhani wamevaa vazi la uzalendo kumbe ni mipango iliyosukwa kwa ustadi na waroho wa rasilimali za Libya...
  7. N

    Jinsi Operation Maalum ya Kulinda wananchi wa Libya ilivyoenda

    Walianza na kauli moja. Tunaingiza vikosi kulinda wananchi wasionewe na kuumizwa na serikali yao. Hapa ndipo walipo December hii.
  8. Lycaon pictus

    Fun fact: Ubishi wa wafanyakazi wa Huawei kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe Libya

    Wakati vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini Libya inaanza, kampuni ya mitambo ya simu ya Huawei haikutaka kuachia biashara hata kidogo. Walichofanya ni wafanyakazi wa Huawei nchini Libya kujigawa makundi mawili. Moja likihakikisha upande huu wa vita mawasiliano yanaendelea na lingine...
  9. DuaZaMama

    Kisa Dabi Basi la Timu la Chomwa Moto huko Libya

    Mchezo wa Dabi nchini Libya kati ya Al-Ahli Tripol dhidi ya Al-Ittihad ulisimama katika dakika ya 39 baada ya Mashabiki wa Al-Ahli kuvamia uwanja kupinga goli la kutangulia la Al Ittihad. Mwamuzi kutoka nchini Ureno Fábio José Costa, alijeruhiwa na mchezaji wa akiba na Mwamuzi akakataa...
  10. U

    Wapalestina milioni 1 kuhamishiwa Libya permanently

    Wadau hamjamboni nyote? The Trump administration is working on a plan to permanently relocate as much as one million Palestinians from the Gaza Strip to Libya, NBC News reports, citing five people with knowledge of the matter. The plan is under serious enough consideration that the US has...
  11. H

    Hivi demokrasia ni Marekani kuzivamia Iraq, Libya, Kongo, Afganstan, Vietinam, nk??

    Tuelimishane hapo ,mimi naamini demokrasia ni ujinga na uhuni. Neno "demo-" ndiyo mzizi wa demokrasia ambapo maana yake ni "onesho" kwahiyo demokrasia ni maonesho ya kisiasa tu na siyo uhalisia wa kisiasa ambapo wanasia wanaigiza ili waishi bila jasho kama lisu,mbowe,sugu,mnyika,nk wanavyoishi...
  12. Allen Kilewella

    Sakata la Simba ni sawa na lile la Nigeria dhidi ya Libya. Yanga msiende CAS.

    Timu ya Taifa Nigeria ilikataa kucheza na timu ya Taifa ya Libya, kisa hawakupokelewa vizuri na wenyeji wao. Kamati ya nidhamu ya CAF ikawazawadia Nigeria pointi tatu. Sasa hili sakata la Nigeria na wale mabaunsa wa Yanga tofauti yake ni ipi? Nashauri Mzee Magoma awazuie Yanga kwenda CAS.
  13. ward41

    Libya na Iraq kuna amani ya ajabu. Sasa ni maendeleo tu

    Utawala wa Saddam na Gaddafi ulichelewesha Sana Maendeleo ya haya mataifa. Kuondolewa Madarakani kwa Saddam Hussein na Gaddafi Kulionekana kwamba kungeleta Machafuko. Cha ajabu mataifa haya Yametulia na sasa ni mwendo wa Maendeleo Iraq na Libya zimeanza kupaa Kiuchumi. Miundombinu inajengeka...
  14. GoldDhahabu

    Mafuta ya Zanzibar yataifanya Tanzania kuwa tajiri kama Libya?

    Kuna matumaini kuwa huenda mafuta yakagundulika Zanzibar. Ni habari njema! Hilo likitukia, Tanzania itakuwa tajiri kama Libya ilivyokuwa kabla ya kuangushwa kwa utawala wa Gaddafi? Sina uhakika kama Gaddafi alikuwa na Maalmasi, Matanzanite, Madhahabu, na Mamikaa ya mawe kama Tanzania, lakini...
  15. JanguKamaJangu

    Kufuzu AFCON 2025: Libya yasema itachukua hatua za kisheria dhidi ya Timu ya Taifa ya Nigeria

    Shirikisho la Soka la Lipya (LFF) limekosoa kitendo cha Nigeria kugomea kucheza mchezo dhidi ya Taifa hilo katika Kuwania Kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 uliopangwa kuchezwa Jijini Benghazi, jana Oktoba 15, 2024. Taarifa ya LFF imesema wanalaani kitendo cha Shirikisho0 la Soka la Nigeria...
  16. JanguKamaJangu

    Nigeria kususia mechi ya kufuzu Afcon 2025 nchini Libya

    Timu ya Taifa ya Nigeria “Super Eagles” imesema haitacheza mchezo wake dhidi ya Libya kuwania, leo Jumanne Oktoba 15, 2024 baada ya msafara wa Wachezaji wao kutelekezwa Uwanja wa Ndege usiku mzima Timu hiyo ilitarajiwa kutua Jijini Benghazi jana Oktoba 14, 2024 lakini ndege ikabadili ratiba na...
  17. Sodoku

    Kilichowakuta Team ya Nigeria Libya hawana hamu. Simba mjiandae. Ndo mtawaelewa Waarabu

    Ila waarabu. Nimewavulia kofia. Nigeria wameona cha mtema kuni humo Libya baada ya kukarishwa airport kwa masaa 16 bila huduma yoyote. Wakiwa wamefungiwa. Hakuna hata WIFI. Hii ni zile harakati za kila mara za Waarabu. Siku zote ukienda cheza na Waarabu ujue huwa ni wakatili sana katika games...
  18. S

    Timu ya Taifa ya Nigeria imepewa funzo kutoka Libya

    Picha linaanza waliwatelekeza wachezaji wa timu ya taifa ya Libya kwa masaa 8 airport mechi ya Nigeria vs Libya (first leg ) Second leg game ilitakiwa ipigwe Libya Nigeria ikasafiri kufika Libya wakatelekezwa airport masaa 12 bila msosi Ule msemo wa you punch me once i punch u triple...
  19. Waufukweni

    Wachezaji Nigeria watishia kususia mechi baada ya Saa 12 za Kuteseka Uwanja wa Ndege Libya

    Libya kama kawaida yao, wamewalaza wachezaji wa timu ya taifa, Nigeria Uwanja wa Ndege kwa zaidi ya saa 12 bila chakula wala vinywaji, wakaona haitoshi wamewapa Hiace (basi dogo) kuchukua timu nzima kuwapeleka Hotelini. Wachezaji wa Super Eagles wamejawa hasira kutokana na hali hii, wakitishia...
  20. L

    Mambo 10 niliyoyaona Simba ikiikaanga Al Ahly Tripoli ya Libya

    1. Mchezo ulikuwa mzuri lkn ulitaka kuwa mgumu baada ya Mabululu kututanguliza na waarabu kuweka viungo wengi kati kuliko sisi ambao tulimtegemea sana Kagoma na Fernandez 2. Che Malone ameanza kutupanda kichwani, yeye na Hamza uchezaji wao uko slow sana na kama tungecheza na timu kubwa kama...
Back
Top Bottom