lecturer

Lecturer is an academic rank within many universities, though the meaning of the term varies somewhat from country to country. It generally denotes an academic expert who is hired to teach on a full- or part-time basis. They may also conduct research.

View More On Wikipedia.org
  1. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Lecturer UDSM azawadiwa na Wanafunzi

    Katika kuendeleza dhima ya Uchumi wa viwanda wanafunzi wamemzawadia lecturer wao viatu na shati . Kazi ndo imeanza. **Wakihojiwa wanaonyesha kufurahia tendo hilo.
  2. mdau mpya

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mishahara vyuo vikuu Tanzania

    Kwanza nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania. Nina ndugu yangu yuko nje ya nchi alikuwa akifanya kazi sasa ameomba kazi hapa Tanzania kwenye moja ya vyuo vikuu maana ni PhD holder. Na pia Alipata kazi South Africa japo yeye anapendelea kurudi nyumbani. Sasa anapenda kujua mishahara ya vyuo...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ni vigezo vipi vinahitajika ili kuwa Mkufunzi wa Chuo?

    Naomba msaada wa mawazo ndugu zangu wana JF. Mawazo yenu yana faida kubwa sana. Ni mara ya pili naandika uzi unaofanana na huu lakini mara ya kwanza niliambulia patupu. Sikupata mchango wenu kabisa. Niliumia kidogo lakini nina desturi ya kutokukata tamaa. Nakwenda moja kwa moja kwenye mada...
  4. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Assistant Lecturer – Educational Psychology (Guidance And Counselling) at DUCE

    POST: ASSISTANT LECTURER – EDUCATIONAL PSYCHOLOGY (GUIDANCE AND COUNSELLING) – 1 POST POST CATEGORY(S): EDUCATION AND TRAINING EMPLOYER: Dar es Salaam University College of Education(DUCE) APPLICATION TIMELINE: 2021-02-17 2021-03-02 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES: To undergo an...
  5. JAMBONIA LTD

    JamiiForums Tanzania Je, anaweza kukidhi vigezo vya kuwa lecturer?

    Habari wataalam, kuna ndugu hapa ameomba kupata information kutoka kwa wadau..ni hivi jamaa aliharibu matokeo ya bachelor hayakua mazuri (GPA) lower second. Kwani hakua serious na shule wakati huo. Ila amejiongeza amekwenda kufanya Master ametoka na GPA ya first class 4.5. Sasa amepata mzuka wa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ninatamani nifanikishe ndoto yangu ya kuwa Mhadhiri

    Ndugu zangu, Mimi ni ndugu yenu nimemaliza chuo mwaka huu nina Degree ya Human Resource Management. Nimesomea Morogoro Mzumbe nina GPA ya 4.2. Kwa muda mrefu nilikua natamani sana kuwa mwalimu wa chuo kikuu kwa hiyo natamani kupata mawazo yenu kwamba kwa jinsi gani nitaweza kufanikisha ndoto...
  7. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Akili kubwa - UoN Kiswahili Lecturer Awarded in US

    The University of Nairobi continues to record honourable milestones after a Kiswahili lecturer from the institution bagged an award in the US. In a statement from the university released on Tuesday, August 18, Prof. Iribe Mwangi, the Chairman, Department of Kiswahili was awarded by the...
Back
Top Bottom