Mimi mstaarabu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 258
- 566
Ndugu zangu,
Mimi ni ndugu yenu nimemaliza chuo mwaka huu nina Degree ya Human Resource Management. Nimesomea Morogoro Mzumbe nina GPA ya 4.2.
Kwa muda mrefu nilikua natamani sana kuwa mwalimu wa chuo kikuu kwa hiyo natamani kupata mawazo yenu kwamba kwa jinsi gani nitaweza kufanikisha ndoto yangu hii.
Kwahiyo nifanye nini ili niifikie ndoto hii na sina connection yoyote.
Mimi ni ndugu yenu nimemaliza chuo mwaka huu nina Degree ya Human Resource Management. Nimesomea Morogoro Mzumbe nina GPA ya 4.2.
Kwa muda mrefu nilikua natamani sana kuwa mwalimu wa chuo kikuu kwa hiyo natamani kupata mawazo yenu kwamba kwa jinsi gani nitaweza kufanikisha ndoto yangu hii.
Kwahiyo nifanye nini ili niifikie ndoto hii na sina connection yoyote.