Serikali, wengi wa wana CCM na baadhi ya watu,, wamesimamia upande mmoja tu.
Kutuambia tudumishe amani., amani, amani na hawana neno jingine angalau la tofauti.
Wapinzani, wanaharakati, na wadau baadhi, wamesema wanahitaji amani inayoambatana na haki.
Angalau wao, wanaona mambo yote mawili...