Umeme unakatwa kuokoa mazingira, wanawasha Diesel Generators 24/7, hakuna kitu kinachangia CO2 emissions kwa kiasi kikubwa kama Diesel, umeme wa Tanzania kiasi kikubwa unatokana na vyanzo vya Maji, hivyo ni renewable energy.
Acheni kutesa watu bila ya sababu, hata Wazungu wenyewe na Wachina...