Muhtasari:
Dhumuni la nakala hii ni kuelimisha jamii kuhusiana na kanuni za kuzingatia ili kuweza kutajirika kwa kuwekeza kwenye soko la hisa. Pia, kutoa hamasa kwa vijana na wajasiriamali mbalimbali kukuza mitaji na utajiri kwa kuwekeza kwenye soko la hisa la Dar es Salaam...
General Commercial Company ni aina ya kampuni ambayo husajiliwa kwa minajili ya kufanya shughuli yoyote ile halali ya kuweza kukuingizia PESA, iwe kuwekeza, kukopa, kukopesha, kuzalisha, kuuza, kununua etc.
Kwa kawaida unachotakiwa ni kuhakikisha kwamba unachofanya ni halali na unakifanya kwa...
Moja ya sababu kubwa ambayo watu wengi husema kwamba inawazuia kufanya biashara ni mtaji. Mimi huwa nakataa sana sababu hii kwa sababu haiwezekani leo huna mtaji, mwaka kesho huna mtaji na hata miaka mitano ijayo huna mtaji.
Nasema mtaji ni kigezo tu ambacho watu wengi hutumia kuficha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.