kura za maoni ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Shangwe laibuka baada ya Eric Shigongo kuibuka mshindi kura za maoni CCM, jimbo la Buchosa

    Shangwe latawala mara baada ya Mbunge wa Buchosa aliyemaliza muda wake, Eric Shigongo, kuibuka mshindi katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwania muhula wa pili wa ubunge katika jimbo hilo.
  2. Waufukweni

    GE2025 Wajumbe wapinga ushindi wa Chuma, kura 20 za wizi zakutwa, wataka uchaguzi urudiwe Makumbusho

    MAKUMBUSHO YAWAKA BAADA YA MUHARAMI CHUMA KUTANGAZWA MSHINDI – WAJUMBE WAPINGA, WATAKA UCHAGUZI URUDIWE Hali ya sintofahamu Iliibuka katika Kata ya Makumbusho, Wilaya ya Kinondoni, baada ya kutangazwa kwa Muharami Rajabu Chuma kuwa mshindi wa kura za maoni za udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi...
  3. Msanii

    GE2025 CCM imejianika kuwa ni adui namba moja wa DEMOKRASIA nchini kupitia kura za uteuzi wagombea

    Leo tarehe 04 Agosti 2025 nchi nzima imeshuhudia zoezi la kura za uteuzi wa wagombea nafasi za Udiwani na Ubunge kuelekea uchaguzi mkuu hapo Oktoba 29. CCM ilianza kuvunja Katiba ya Nchi baada ya kumteua Samia Suluhu kuwa mgombea pekee wa Urais hapo January ambapo kwa mujibu wa Ibara ya 38 ya...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mchengerwa aibuka kidedea kura za maoni CCM jimbo la Rufiji

    Mohamed Omary Mchengerwa ambaye ndiye Mbunge aliemaliza muda wake ameibuka kidedea kulitetea jimbo hilo kwa mara nyingine tena
  5. Waufukweni

    GE2025 Mwana FA aongoza kwa asilimia 91 Kura za Maoni

    Mbunge anayetetea kiti chake katika Jimbo la Muheza Mkoani Tanga Hamis Mwinjuma maarufu kama Mwana FA amepata ushindi wa kishindo katika kura za maoni zilizopigwa na Wajumbe hii leo Jimboni hapo kwa kupata kura 9030 ambazo ni sawa na asilimia 91. Katika ushindi huo, MwanaFA ameongoza na...
  6. PAYE

    GE2025 Mgore aongoza kura za maoni Musoma Mjini

    Mgore Miraji ameibuka mshindi kwenye kura za maoni baada ya kuwabwaga wapinzani wake watano aliokuwa akishindana nao katika mchakato wa kumpata mwakilishi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mkuu ujao katika Jimbo la Musoma Mjini mkoani Mara. Endapo Mgore atapitishwa na kamati Kuu ya...
  7. ChoiceVariable

    GE2025 Mgore Miraji Kigera ashinda kwa kishindo kura za maoni CCM Jimbo la Musoma Mjini

    My Take Hakuna haja ya viti Maalumu maana wanawake wenye uwezo wapo ================ Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Uchaguzi Jimbo la Musoma Mjini wamemchagua kwa kishindo Mgore Miraji Kigera kuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mgore alipata kura 2,255...
  8. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Joel Nanauka aibuka kidedea kura za maoni CCM, Jimbo la Mtwara Mjini

    Tanzania One (TO), mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Joel Nanauka ameibuka mshindi katika kura za maoni CCM jimbo la Mtwara Mjini Soma Pia: Joel Nanauka kumrithi Kinana CCM
  9. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Wajumbe Kata ya Bonyokwa na Kinyerezi wabaki kulinda kura

    Wajumbe wa Kata za Bonyokwa na Kinyerezi zilizopo katika Jimbo la Segerea jijini Dar es Salaam wameamua kulala na wengine kuweka vijiwe nje ya kumbi walizopigia kura. Kata za Jimbo la Segerea zina wajumbe zaidi ya 1,000 kwa kila kata, hivyo wengi wamesema kuwa huenda kazi ya kuhesabu kura...
  10. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Bashe ashinda kura za maoni CCM, Jimbo la Nzega Mjini

    Mbunge Wa Nzega Mjini aliyemaliza Muda wake Hussein Bashe amefanikiwa kuibuka kidedea kwenye Kula za Maoni na Kupitishwa na Wajumbe kwenye Kinyang’anyiro cha Kugombea nafasi ya Kuiwakilisha CCM kwenye Kiti cha Ubunge wa Jimbo Hilo . Bashe amepitishwa na Wajumbe na Kuongoza kwenye kata zote 10...
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kukamatwa kwa kura feki Kigoma Mjini, Baba Levo akiachia chama chake CCM

    Mtia nia wa Ubunge jimbo la Kigoma Mjini Clayton Chipando ameziomba taasisi zinazohusika na ulinzi na usalama pamoja na Chama cha Mapinduzi chenyewe, kufuatiliaji undani wa taarifa inayosambaa mitandaoni kuhusu watu wasiofahamika kunaswa na wananchi wakiwa na kura feki katika Kata ya Gungu.
  12. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Hali inavyoendelea jimbo la Makambako, Chongolo anaongoza kura hadi sasa. Amuacha mbali sana Jahpipo

    Kivavi Chongolo 985 Jahpipo. 35 Majengo Chongolo 289 Jahpipo 13 Kitisi Chongolo 376 Jahpipo 68 Utengule Chongolo 605 Jahpipo. 45 Makambako Chongolo 574 Jahpipo. 26 Mwembetogwa Chongolo 175 Jahpipo. 16 Mjimwema Chongolo 318 Jahpipo. 26 Laymkena Chongolo 319 Jahpipo...
  13. M

    GE2025 PDF la wagombea ubunge kupitia CCM waliopitishwa na wajumbe kwenye kura za maoni

    Tupeane taarifa kuhusu watia nia wa ubunge waliopitishwa kugombea majimbo kwa tiketi ya CCM baada ya kushinda kura za maoni za wajumbe. Dar es salaam Ubungo - Kitila Mkumbo Kibamba - Angela Kairuki Kawe - Geofrey Timoth Kinondoni - Tarimba Abbas Kivule - Ojambi Masaburi Ilala - Musa Zungu...
  14. MGOGOHALISI

    GE2025 Tujadili bila Jaziba, Kwanini watia nia wengi "wasomi" wanashindwa kupenya kwenye kura za maoni CCM?

    Wakuu tujadili hii, Ni kweli Ukiangalia kwenye madiwani, wabunge wa majimbo na viti maalum wengi wanaoongoza kura za maoni ni standard 7 au wenye elimu za kawaida Je tatizo ni nini hasa kwa wasomi kupenya nafasi hizi? Soma pia: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi...
  15. W

    GE2025 Shetta Ashinda Kura za Maoni Mchikichini

    Nurdin Bilal Juma maarufu kama Shetta, Msanii wa muziki wa kizazi kipya na mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameibuka mshindi katika kura za maoni za chama hicho kwa nafasi ya udiwani Kata ya Mchikichini, Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam. Ushindi huo unamuweka Shetta katika nafasi...
  16. Knock life

    Huyu nae inasemekana alikuwa anataka ubunge , akakatwa juu kwa juu

    Kwahiyo huyu na yeye alikuwa anataka kuingia Bungeni ?.
  17. Tlaatlaah

    Ndugu wadau wa JF, Msione nipo kimya, ni ubize na u serious wangu tu kwenye kampeni kura za maoni CCM, Msichoke kuniombea

    Pamoja na watia nia wengine walioidhinisha na kamati kuu ya halmashauri kuu ya CCM taifa, namshukuru sana Mungu kwa kibali, ndugu yenu Tlaatlaah ninaendelea na kampeni za kura za maoni vizuri sana kwasasa, licha ya kwamba sikufanikiwa kufanya hivyo katika baadhi ya kata siku ya kwanza ya kampeni...
  18. C

    Bora kura za maoni CCM wapige wanachama wote sio wajumbe tu

    Ndugu wana JF, Haya mambo ya wajumbe CCM naona itakuja kuleta shida huko tuendako. Wajumbe wanataka rushwa na wanaweza kuleta mtu ambaye wanachama hawamtaki. Pia kumekuwepo na chuki miongoni mwa wajumbe. So mimi naona bora wanachama wote waruhusiwe kupiga kura za maoni.
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kura ya Maoni CCM Kufanyika Agosti 4, 2025. Yasisitiza Amani, Uwazi na Heshima kwa Taratibu za Chama

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuwa kitafanya kura ya maoni kwa wagombea wa Ubunge, Uwakilishi na Udiwani katika ngazi ya Kata/Wadi na Majimbo kwa Tanzania Bara na Zanzibar Agosti 4, 2025. Hii ni hatua muhimu katika mchakato wa ndani wa chama wa kupata wagombea wake kwa ajili ya Uchaguzi...
  20. Pdidy

    Nimeshangazwa kuona watu wanalalamika kwenye mchakato uteuzi wa wagombea CCM

    Labda hili jambo ni geni kwa baadhi ya watu, lakini kwa waliokuwa kwenye chama kwa muda mrefu, haya mambo walitakiwa wawe wanayafahamu. Nashangaa kuona watu wanalalamika kwamba wameonewa, ilhali walishindwa hata kujifunza na kuelewa mchakato huu tangu zamani. Wajumbe wana kazi maalum, na hiyo...
Back
Top Bottom