kupotezwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Kupotezwa, Kujipoteza, Kujitafuta na Kujipata!

    KUPOTEZWA, KUJIPOTEZA, KUJITAFUTA NA KUJIPATA. Anaandika Robert Heriel. Kuhani. Nataka niwe kama Michael Jackson, Umejipoteza. Nataka niwe Kama Yesu wa Nazareth, umeshapotea Huko. Nataka niwe Kama Taikon wa Fasihi, umeshapoteza mwelekeo. Nataka niwe kama Ronaldo, iiishii! Pole Sana. Nataka...
  2. S

    Kwa maoni ya Dkt. Slaa, inawezekana Ben Saanane na wengine walitekwa na kupotezwa na Chadema

    Kuna vitu vingine ni bora kukaa kimya badala ya kuongea, kwa kuwa unapoongea watu wataweza kujua kina cha busara zako kama ni kirefu au kifupi sana. Katika maisha, ni bora kukaa kimya watu wadhani una busara, kuliko wewe kudhani una busara ukaongea hadharani na kufanya hata wale waliodhani una...
  3. tzhosts

    Mfahamu Mteja anayefaa kupotezwa

    Katika ulimwengu wa biashara,kuna aina mbili za wateja Kuna wateja ambao ni LOYAL na wateja ambao ni ROYAL mteja ambaye hayuko katika kundi moja katia ya hili basi sio mteja. Mteja ROYAL ni mteja yoyote yule ambaye ananunua kwako kwa mara ya kwanza au mara kwa mara-Ndio maana kuna msemo mteja...
  4. Kamanda Asiyechoka

    Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji, Waliagizwa wanipoteze baada ya Uchaguzi

    Mwanasiasa machachari wa Tanzania anayeishi mamtoni baaada ya kufanyiwa unyama amekanusha taarifa na kauli ya Igp Sirro kuwa alipigiwa simu na jeshi la polisi ili ahojiwe juu ya madhila yaliyompata. Kupitia ukurasa wake wa Twita Lissu amedai kuwa taarifa hizo ni za uongo na hazina ukweli...
Back
Top Bottom