Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche, amekausha kumtukana Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira aliposema kuwa amezeeka.
Soma zaidi: Heche amchana vibaya Wasira "umri wako huu wote hujui kazi ya mbunge"?
Ameyasema hayo Agosti 3, 2026, katika kikao na viongozi wa Chadema Wilaya ya...