kujiendeleza kielimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    JamiiForums Tanzania Kujiendeleza kielimu katika kozi za Molecural biology and biotechnology na Bachelor of biotechnology

    Hello Kuna kijana amesoma Diploma in medical laboratory science na ana leseni kutoka bodi ya wataaluma wa maabara ila anataka kwenda kujiendeleza kielimu katika course za 1.Molecural biology and biotechnology (Udsm) 2 Bachelor of biotechnology (must) Kwa wataalamu na wajuzi wa haya mambo hizi...
  2. SIPENDI SIASA

    JamiiForums Tanzania Uliwezaje kuishi na wababa au wamama waliotokea kazini kuja kujiendeleza kimasomo chuo?

    (1) Kuna rafiki yangu yeye aliambukizwa "ngoma" na mmama (cashier wa bank fulani) aliyekuja kujiendeleza. Jamaa sasa hivi ni mwendi wa ARVs. Sad indeed. (2) Kuna sister mmoja agemate yeye alisaidiwa connection mwaka 2012 akaingia Polisi. (3) Kuna braza mmoja alitokea NMB yeye alikuja...
  3. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya kurudi shule baada ya kuajiriwa serikalini

    Habari wakuu. Mimi kijana niliyesoma Diploma ya uuguzi na ukunga nashukuru Mungu mwaka huu nimebahatika kuajiriwa rasmi Serikali. Nilikuwa na lengo la muda mrefu kujiendeleza kimasomo lakini nilikuwa nasubiri kwanza niingie kwa mfumo rasmi.. Wakuu naombeni ushauri wa Mambo yafuatayo. 1.Mbinu...
  4. wa kibondemaji

    JamiiForums Tanzania Kujiendeleza kielimu au kufanya biashara? Lengo ni kujikwamua kiuchumi

    Habari wana-JamiiForums, Nina umri wa miaka 27 ni muajiriwa wa serikali tangu mwaka 2023 nikiwa kama afisa tabibu (clinical officer). Nimeleta uzi huu kwenu nikiomba ushauri kuna mambo kama mawili natamani kuyafanya la kwanza ni kujiendeleza kielimu na la pili ni kufanya biashara vyote nikiwana...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna haja ya kusoma masters na phd

    Kwema wakuu Najifikiria kama kuna haja ili niende nikasome.Je itaniongezea chochote au nitulie tu na degree moja
Back
Top Bottom