Uliwezaje kuishi na wababa au wamama waliotokea kazini kuja kujiendeleza kimasomo chuo?

SIPENDI SIASA

JF-Expert Member
Dec 28, 2024
791
1,201
(1) Kuna rafiki yangu yeye aliambukizwa "ngoma" na mmama (cashier wa bank fulani) aliyekuja kujiendeleza. Jamaa sasa hivi ni mwendi wa ARVs. Sad indeed.

(2) Kuna sister mmoja agemate yeye alisaidiwa connection mwaka 2012 akaingia Polisi.

(3) Kuna braza mmoja alitokea NMB yeye alikuja kujiendeleza, alikuwa hapendi shikamoo ilhali alituacha kama miaka 15 hivi. Tulikuwa tunamkwepa discussion groups.

(4) Jamaa yangu alikutana na Mwalimu wake wa Secondary O level darasa moja, chuo kimoja. Wakawa wanaonea aibu..

Kijana mdogo (fresh from school) Uliwezaje kuishi na mibaba/mimama waliokuja kujiendeleza kimasomo chuoni.

~ SIPENDI SIASA ~
 
Wanakuaga fair sana ila wengine wanakua limbukeni na mademu. Kama kuna mmoja tulisoma naye alikua anawenge sana na madem level of concentration ikawa inapungua. Ila story zake sasa ukiwa bwege anakubeba na uongo.

Sasa naona namimi nitaenda kuwa mtu mzima nayesoma na watoto mwaka ujao nikiingia Post Graduate.
 
Umri ni namba tu ,ukifika utajua.

Ukiwa na 20 unaona 30 ni umri mkubwa sana ,ukifika 30 unajina mdogo na unafikiri 40 ni umri mkubwa sana ,unafika 40 unajiona bado una umri mdogo ,unaona 50 ni kubwa sana ,unafikia 50 unaona bado umri mdogo ,si umemuona EL Buggati na Zaylissa wanakula bata kwenye bahari? Sasa Manara ni 50 ,Masoud Kipanya 50 ,Zembwela 50 na si umewaona bado energetic? Haya Pata Picha Mama Samia 65 lakini bado ana nguvu.....Wassira 80 kaongezewa majukumu

Cha umuhimu kuomba Mungu akupe afya njema maana ukiwa na afya mbovu at 20s unaweza ukaonekana BABU.
 
Watu wanakuja chuoni kupata mapumziko ya hekaheka za ofisini... Watu wanakuja chuoni ili kuongeza kiwango cha pension pindi watakapo staff... Wakati nyie mnawaona wamechelewa Shule, wao wanawacheka hamjui siri za maisha... Ndiyo maana wenzenu wanatafuta cheti tuu wakat nyie mnahangaika na GPA
 
upo chuoni kufatilia jinsi unavyoishi na watu. Wachukulie ni watu wa kawaida tu, piga nao discussion watakueleza hali halisi huku mitaani ipoje.

Madogo wengo mnapokuwa University mnakuwa na wenge la maisha ila mkumaliza na kujikuta hamna ajira mnaishia kupata depression
 
Umri ni namba tu ,ukifika utajua.

Ukiwa na 20 unaona 30 ni umri mkubwa sana ,ukifika 30 unajina mdogo na unafikiri 40 ni umri mkubwa sana ,unafika 40 unajiona bado una umri mdogo ,unaona 50 ni kubwa sana ,unafikia 50 unaona bado umri mdogo ,si umemuona EL Buggati na Zaylissa wanakula bata kwenye bahari? Sasa Manara ni 50 ,Masoud Kipanya 50 ,Zembwela 50 na si umewaona bado energetic? Haya Pata Picha Mama Samia 65 lakini bado ana nguvu.....Wassira 80 kaongezewa majukumu

Cha umuhimu kuomba Mungu akupe afya njema maana ukiwa na afya mbovu at 20s unaweza ukaonekana BABU.
sure kabisa Boss wangu
 
Umri ni namba tu ,ukifika utajua.

Ukiwa na 20 unaona 30 ni umri mkubwa sana ,ukifika 30 unajina mdogo na unafikiri 40 ni umri mkubwa sana ,unafika 40 unajiona bado una umri mdogo ,unaona 50 ni kubwa sana ,unafikia 50 unaona bado umri mdogo ,si umemuona EL Buggati na Zaylissa wanakula bata kwenye bahari? Sasa Manara ni 50 ,Masoud Kipanya 50 ,Zembwela 50 na si umewaona bado energetic? Haya Pata Picha Mama Samia 65 lakini bado ana nguvu.....Wassira 80 kaongezewa majukumu

Cha umuhimu kuomba Mungu akupe afya njema maana ukiwa na afya mbovu at 20s unaweza ukaonekana BABU.
Mkuu hii ni comment yako Bora zaidi tangu jukwaa hili limeanzishwa. Maneno machache ila Yana ukweli kwa 100%
 
watu wa ma ofisini ni fursa ila usipo kuwa mjinga mjinga utaona izo fursa
 
Back
Top Bottom