kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    PreGE2025 Waziri wa Katiba na Sheria (Ndumbaro): Tanzania inaendelea kwa sababu kuna Haki, Usawa na Amani

    Wakuu, Wananchi tuna amani, muda wote ni mwendo wa kububujikwa machozi ya furaha kwa nzuri anayofanya kipenzi chetu Mama Dokta (zitamke mara 9 sikumbuki namba yote) Kipenzi cha Wote Jemedari Amiri Jeshi Mkuu mwenye anaupiga mwingi Samia Suluhu Hassani, au nasema uongo ndugu zangu? :BearLaugh...
  2. Blender

    KURA : CCM kuelekea 2025, Twende na Form 1 Au multiple Form ?

    Piga kura Yako . Je unakubali Twende na mama TU mpaka 2030 and may be possible up to 2035. Au wewe unapendekeza ccm I practice democracy kwa kugawa Forms kwa wagombea yeyote CCM mwenye sifa ya kuiongoza Tanzania . Wenu katika ujenzi wa Taifa hili changa
  3. Cute Wife

    PreGE2025 Mchengerwa kutoa Milioni 60 kwa ajiri ya ujenzi wa Studio ya Muziki! Wana Rufiji hiki ndicho mmemuagiza mbunge wenu awaletee?

    Wakuu, Hivi Rufiji kuna wasanii wengi eeeh kiasi kwamba demand ni kubwa sana? Wanarufiji mambo yote safi mpaka wameomba wajengewe studio🌚 === Waziri wa TAMISEMI na Mbunge wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa ameahidi kuchangia Milioni 60 kwa ajili ya ujenzi wa Studio ya Muziki kwa ajili ya...
  4. Cute Wife

    PreGE2025 Baada ya press hii ya Lissu, ataendelea kuwa CHADEMA au watamtimua? Akifurushwa unadhani ataenda kujiunga chama gani?

    Wakuu, Kwa press hii ya Lissu si siri tena kuwa CHADEMA kuna mtufuano wa maana. Yaani Lissu kaamua kuchomoa berti. Kwa hatua hii msituambie kuwa hapa wamapenga, ndani hakuna shida, kwa hizi spana za leo Lissu kaamua liwalo na liwe. Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Mtasubiri sana...
  5. Suley2019

    PreGE2025 Tundu Lissu: Anayechukizwa mimi kuwa Mwenyekiti aelimishwe

    Mwanachama wa CHADEMA au Mtu mwingine yoyote anayeona ajabu, au anayechukizwa au kukwazwa na nia yangu ya kugombea nafasi ya Uenyekiti Chama chetu atakuwa ama hajui au amesahau au hataki kuenzi na kuendeleza urithi tulioachiwa na Wazee wetu Edwin Mtei na Bob Makani wa kuachiana madaraka ya...
  6. Mindyou

    PreGE2025 Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

    Wakuu, Siku ya leo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atakuwa ananguruma wakati anazungumza na vyombo vya habari Fuatilia uzi huu kujua nini kinaendelea kwenye mkutano huo. Katika mkutano huo uliofanyika Mlimani City, Tundu Lissu amedokeza kuwa anagombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA...
  7. Roving Journalist

    PreGE2025 Geita: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. MBUNGE WA BUKOMBE - Dotto Biteko Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ubunge: Alichaguliwa kuwa Mbunge wa Bukombe mkoani Geita mwaka 2015 na alishinda kwa kura 71,640 dhidi ya 11,433 za mpinzani wake. Wadhifa wa Kiserikali: Aliteuliwa kuwa Waziri wa Madini mwaka 2019 na alihudumu hadi...
  8. Roving Journalist

    PreGE2025 Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania

    Wakuu, Hii hapa ni orodha ya CV za wabunge kutokana na Mkoa husika wa anapotokea Mbunge. Hapo utapata taariza zake kwa ufupi kuhusu wasifu wao kwa ujumla na mambo mbalimbali waliyofanya kwenye uwanda wa siasa na hata nje ya hapo. Kuelekea 2025 - Arusha: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge...
  9. Roving Journalist

    PreGE2025 Lindi: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Francis Kumba Ndulane - Mbunge wa Kilwa Kaskazini Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kwa kura 20,501, akimshinda Ngombale Vedasto Edgar wa CUF aliyejikusanyia kura 8,513. Elimu: Elimu ya Msingi: Alianza masomo yake katika Uwanjani...
  10. Roving Journalist

    PreGE2025 Dodoma: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. MBUNGE WA BAHI - Kenneth Ernest Ollo Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 40,628 dhidi ya Godfrey Job (CUF) aliyepata kura 1,756. Michango Bungeni: Alitoa michango 21 na kuuliza maswali 36 kati ya mwaka 2021 hadi 2023. Elimu: Shule ya Msingi...
  11. Roving Journalist

    PreGE2025 Ruvuma: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    1. Mbunda Jonas William - MBUNGE WA MBINGA MJINI Chama: Chama cha Mapinduzi (CCM) Kura: 26698 (2020) Elimu na Taaluma Yake Strathclyde University, UK: Master of Science in Finance (2005–2006) Shahada ya Uzamili (Masters Degree) Cooperative College - Moshi: Advanced Diploma in Accounting...
  12. Roving Journalist

    PreGE2025 Simiyu: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    1. Kundo Andrea Mathew - Mbunge wa Bariadi Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 92488 dhidi ya Maendeleo Bernard Makoye (CHADEMA) aliyepata kura 33339 Elimu Yake Open University of Tanzania: Masters Degree in Project Monitoring and Evaluation (2015–2017)...
  13. Roving Journalist

    PreGE2025 Mara: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Boniface Mwita Getere - Mbunge wa Bunda Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Aliibuka mshindi kwa kupata kura 50,780, akimshinda Kissama Samwel Ndaro kutoka CHADEMA aliyejikusanyia kura 5,596. Elimu: Elimu ya Msingi: Iramba Primary School (1974 -...
  14. Roving Journalist

    PreGE2025 Shinyanga: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Jumanne Kibera Kishimba - Mbunge wa Kahama Mjini Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kwa kura 35,709, akimshinda Sonia Jumaa Magogo wa CHADEMA aliyejikusanyia kura 10,740. Elimu: Elimu ya Msingi: Alianza masomo yake katika Shule ya...
  15. Roving Journalist

    PreGE2025 Songwe: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. George Ranwell Mwenisongole - Mbunge wa Songwe Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Aliibuka mshindi kwa kura 40,834, akimshinda mpinzani wake Pascal Yohana Haonga kutoka CHADEMA, aliyejikusanyia kura 18,054. Elimu na Taaluma: Elimu ya Msingi...
  16. Roving Journalist

    PreGE2025 Tanga: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Kwagilwa Reuben Nhamanilo – Mbunge wa Handeni Mjini Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alipata kura 15,241, akimshinda Thadeo Joachim Assechekamwati kutoka CUF ambaye alipata kura 6,713. Kazi Bungeni: Tangu mwaka 2021, amekuwa katika Kamati ya...
  17. Roving Journalist

    PreGE2025 Kigoma: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Philip Isdor Mpango – (Mbunge wa Buhigwe) Makamu wa Rais wa Tanzania Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kuwa mbunge wa Buhigwe. Elimu Alisoma katika shule za msingi na sekondari huko Kigoma na alihitimu kutoka Ihungo High School...
  18. Roving Journalist

    PreGE2025 Manyara: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Samweli Xaday Hhayuma – Mbunge wa Hanang Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Samweli alipata kura 14,203, akimshinda Kiza Hussein Mayeye kutoka CHADEMA ambaye alipata kura 20,342. Michango Bungeni: Samweli ameleta michango 34 na kuuliza maswali 68...
  19. Roving Journalist

    PreGE2025 Kaskazini Unguja: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    1. Mbarouk Juma Khatib - MBUNGE WA BUMBWINI Chama: CCM Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 11240 Historia ya Elimu Makoba Primary School: CPEE, 1975 - 1982 Uzoefu wa Kisiasa Chama Cha Mapinduzi: Mjumbe wa Mkutano Mkuu Wilaya ya Kaskazini B Unguja: 2016 - Hadi sasa Parliament of Tanzania...
  20. Roving Journalist

    PreGE2025 Kaskazini Pemba: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    1. Salim Mussa Omar - MBUNGE WA GANDO Chama: CCM Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 3390 Historia ya Elimu Diploma University of Dar-es-Salaam Computing Center 2011 - 2013 Certificate University of Dar-es-salaam Compuntig Center 2009 - 2010 Gando Secondary School: 2002 - 2006 Gando Primary...
Back
Top Bottom