kuchezesha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MK254

    Video: Raia wa Iran asababisha polisi watoke nduki baada ya kuchezesha sauti ya drone

    Wananchi wa Iran wanapata burudani kwa namna mapolisi yao yanababaika kila yakisikia sauti ya drone.... Imekua mazoea kuchezesha hizo sauti za drone karibu na mapolisi ya doria halafu wanachekelea namna inavyokua tafrani. https://www.facebook.com/reel/1451297260343677
  2. kavulata

    Nassoro Mwinchui ni Simba lialia lakini tumtayarishe kuchezesha CAF.

    Mwamuzi wa dabi ya tarehe 01 March ni Nassoro Mwinchui ingawa wote tunajua kuwa inaipenda sana Coastal Union na Simba ss na alishapewa adhabu mara nyingi kwa kuzipa upendeleo Simba na Coasta kwa vipindi vya karibukaribu vilivyofuatana. Alishawahi kutumwa mara nyingi kuchezesha mechi za Yanga...
  3. biz_mtaa

    Ulishawahi kufikiria kuanza biashara ya kuchezesha game (PlayStation)?

    🎮 Ulishawahi kufikiria kuanza biashara ya kuchezesha game (PlayStation)? Kile kinachoonekana kama “burudani ya kawaida” kimekuwa fursa kubwa ya biashara inayoweza kukuletea faida kila siku. Siri kubwa ipo kwenye mbinu ambazo wamiliki wa biashara hizi hutumia kuhakikisha michezo inalipa gharama...
  4. ngara23

    Tetesi: Ahmed Arajiga amekataa kuchezesha Derby ya June 15

    Ahmed Arajiga na set nzima ya waamuzi wametuma barua Kwa Bodi ya ligi kuwa hawako tayari kuchezesha Derby hiyo hadi Bodi ya ligi itakapoweka sawa mgogoro Yao na timu zinazoshiriki hiyo derby, maana ni wazi Yanga ameweka msimamo wao wazi kuwa hawachezi Mwamuzi kama Arajiga amejitengezea CV kubwa...
  5. Pdidy

    MWAMUZI DEHANE ALIECHEZESHA FINA L YA SIMBA VS BERKANE ACHAGULIWA KUCHEZESHA KOMBE la DUNIA la VILABU MAREKANI....CONGS MWAMBA

    Mwamba dehane N MMOJA WA WAAMUZI WALIOCHAGULIWA KUCHEZESHA MECHI ZA MAREKANI KOMBE la DUNIA LA VILABU Mwambaaaa nyotaaa inazidi kungaaa
  6. The Mongolian Savage

    Ziara ya Trump yatia fora kwa mabinti wa kiarabu kuchezesha nywele zao kwa kutingisha shingo

    Juzi Saudi Arabia makomandoo waliovalia kanzu nyeupe na mikanda mieusi huku bastola zikining'inia kiunoni waliwashangaza walimwengu Kwa kuwaandalia kahawa Trump. Jana Qatar ulimwengu pia ulistaajabu mapokezi ya kipekee Kwa msururu WA magari ya Tesla cyber truck mekundu. Lakini ya Leo ndo...
  7. Waufukweni

    Mwamuzi aliyekataa goli la Aziz K dhidi ya Mamelodi amepangwa kuchezesha fainali Simba VS RS Berkane Mei 25, Zanzibar

    CAF imemteua mwamuzi wa kimataifa kutoka Mauritania, Dahane Beida, kuchezesha mchezo wa marudiano wa fainali ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya Simba SC na RS Berkane utakaopigwa Mei 25 huko Zanzibar. Hawa ndio waamuzi wa VAR kwa mchezo wa Simba dhidi ya RS Berkane • Mkuu wa VAR...
  8. G.T.L

    AHMED ARAJIGA kuchezesha Derby tarehe 8

    Sasa ni Official, Referee Ahmed Arajiga ndio msimamizi wa mechi ya Yanga vs Simba tarehe 8. Sasa ngoja tuone kama kutakua na malalamiko kutokana na makosa ya kiusimamizi.
  9. upupu255

    Arajiga kuchezesha mechi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026

    Waamuzi wa Tanzania Ahmed Arajiga, Kassim Mpanga, Said Hamdani na Salum Nasir wameteuliwa na na Shirikisho la soka Duniani (FIFA) kuchezesha mchezo wa Kundi G wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 kati ya wenyeji Botswana dhidi ya Algeria utakaopigwa Mjini Francistown Nchini Botswana Machi 21...
  10. Pdidy

    BAADA YA MAKELELE TFF /KAMATI YA WAAMUZI KUMBE MNA MAREFA WENYE KUCHEZESHA VIZURI SHIDA ILIKUWA NINI;;;;???

    HII NA AIBU KWA MPIRA WA TANZANIA YAAN MPAKA WANANCHI NA WAANDISHI WA HABARI WAPIGE KELELE WAAMUZI WABOVU WANAPOKEA RUSHWA NDIO MNAWEKA REFA MWENYE KIWANGO CHA JUU KWANI ALIKUWA WAPI?? SITASHANGAA DECEMBER NIKISIKIA LIGI YENU IMEFIKIA NAMBA 1 5. MSIPOBADILIKA..MSISUBIRI KILA SIKU IWE AIBU...
  11. Dabil

    Singida Black Stars kuchezesha wazawa leo ili kupunzisha mastaa wao wa kigeni

    Timu ya Singida Black Stars imetangaza kwamba mechi ya leo dhidi ya Yanga watapunzisha mastaa wao wa kigeni na kuchezesha wazawa ,wamedai wanapunzisha wachezaji mastaa kwa ajili ya game zinazokuja maana ratiba imekuwa ngumu. NB: Hii ni match fixing ya wazi,unapunzishaje wachezaji wenye uwezo...
  12. ngara23

    Ahmed Arajiga kwanini hapewi kuchezesha mechi za Simba?

    Arajiga ni mwamzi Bora kabisa katika nchi yetu tukubali tukatae, akiamua mchezo kila mpenda mpira Huwa anaridhika kabisa na kuona haki imetendeka Arajiga msimu huu pekee amechezesha mechi za Yanga 6 Yanga lakini hajapewa mchezo wowote wa Simba auamuwe. Simba wamekuwa walipewa waamzi...
  13. kipara kipya

    TFF mulikeni refa wa jana hafai kuchezesha mechi za yanga hakuficha mapenzi yake kwa yanga hadharani!

    Watu wasisahaulishwe na yanga kufungwa jana ila yule refa hafai katika ligi kuu haswa mechi zinazohusisha timu yake ya yanga tangu dakika ya kwanza mpaka inafika 44 refa amekwisha wapa nusu ya timu ya tabora united kadi za njano na kuizawadia yanga penati baki ya faulo kama kumi na baki ya hapo...
  14. Half american

    Timu ya taifa ya wanawake Iran yaondolewa michuano ya ASIAN CUP baada ya kuchezesha wanaume

    Timu ya taifa ya wanawake ya Iran imeondolewa katika michuano ya Asian Cup baada ya kukutwa na hatia ya kuchezesha wanaume wanne. Je ? Unadhani hao wachezaji Wakiume ni namba ngapi hapo pichani?
  15. Mtini

    Waamuzi waliokataa goli la Yanga wameondolewa kuchezesha mechi zilizobaki za CAF

    Refarii pamoja na mmoja aliyekuwa chumba cha VAR
  16. Lexus SUV

    Hivi uwanja mpya wa Zanzibar haustahili kuchezesha mechi za kimataifa AFCON?

    Hivi uwanja mpya wa Zanzibar haustaili kuchezesha mechi za kimataifa AFCON au mpaka tutenge kodi za mama ntilie ili zikashibishe matumbo ya watu?
  17. J

    Refa mwingine tena atiwa hatiani na kamati ya Ligi kwa kuipendelea Yanga, afungiwa kuchezesha soka

    Huu ni mfululizo wa maamuzi yenye dosari ya kuipendelea Yanga unaofanywa na marefa katika ligi yetu, Kamati ya ligi naona umeamua kutokucheka na kima, ili kuokoa ligi yetu kumezwa na rushwa kutoka kwa wawekezaji wahuni wanaotumia njaa za marefa na wachezaji wa timu ndogo
  18. Kipenzi Changu

    "Mama Baleke" kuchezesha Simba na Yanga kesho

    Florentina alichezesha mechi ya Mtibwa akipigwa 3 na Baleke. Akachezesha mechi ya Ihefu Baleke akipiga 3 kati ya 5 Nimeanza kuwaonea huruma
  19. Shark

    Simba Day 06 Aug 2023; Bahati Nasibu Kuchezeshwa Kwa Watakaowahi

    Kwa mashabiki 10,000 wa kwanza kufika uwanjani kesho katika #SimbaDay2023 watapewa fomu ambazo watazijaza na washindi watatu watapatikana kutoka kwenye droo ambayo itachezeshwa na Blueberry Travel Tanzania. 🛑 Mshindi wa kwanza atapata nafasi ya kutembelea Dubai. 🛑 Mshindi wa pili atapata nafasi...
  20. kavulata

    Kayoko afungiwe kuchezesha mechi kadhaa

    Hata mtu asiye na taaluma ya uamuzi wa mpira anajua kuwa Kayoko ameishindwa kwa makusudi mechi ya Polisi vs Yanga. Isipite hivihivi bila adhabu.
Back
Top Bottom