kinauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside karibu kwa mzee wa Upako, Kibangu Ruge-SQM 2700

    Habari,ninauza kiwanja kilichopo wilaya ya ubungo, Kata Makuburi, kipo karibu na kwa mzee wa Upako. Karibu Km 1.5 kutoka Mandela road. Ni mwendo wa dk 20 kwa miguu kutoka kituo cha daladala ubungo riverside. Kiwanja kina ukubwa wa SQM 2700, kimepimwa, kina nyaraka za serikali ya mtaa (Hati...
  2. Milonji

    JamiiForums Tanzania Kuna Jamaa anauza Kiwanja kipo Nzuguni B Opposite na Nyumba 3,500 za TBA

    Habari zenu, Kuna Jamaa anauza Kiwanja kipo Nzuguni B Opposite na Nyumba 3,500 za TBA. Kipo Mahali pazuri sana, nimekiona na nilitaka kununua ila tumepishana bei kidogo. Ukubwa ni SQM 541 Jamaa kakomaa bei 11,000,000/= Karibu Inbox nikupe namba ya Mhusika.
  3. My hair my crown

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa, kiluvya kwa sumaye square meter 556.5 tsh. Mil 14

    Karibuni kiwanja wana jamiiforum, kipo sehemu nzuri kutoka kiluvya madukani mpaka kilipo nauli ni buku. Kiwanja hakina udalali na maelewano yapo. kwa mawasiliano zaidi karibu +255617011077 +255713392367
  4. C

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Tegeta A

    Kiwanja kina ukubwa wa 20 kwa 20 (400 sqm) kuna vyumba viwili ambavyo vimekamilika na mwenyewe anaishi hapo . Unapanda bajaji za kwenda kwa madawa (kituo cha kushukia ni kwa madawa) sio mbali kutoka hapo na kiwanja kilipo. Bei ya kiwanja ni shilingi milioni 13 . Mawasiliano 0716694624/0685084315
  5. 0

    JamiiForums Tanzania Kinanda Cha studio kinauzwa

    Habari wadada na wakaka. Nauza kinanda Cha studio ni kama kipya kinatumika kutengenezea muziki yaani MIDI Controller. Kinatumia sauti za program ya computer mfano cubase nk kupata sautii za aina mbalombali Bei ya punguzi sh 480,000. Kikiwa dukani vinauzwa sh 800,000 kwa hiyo nimefanya bei nzuri...
  6. Ochoa Real Estate

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa/karibu na Madale/karibu na njia nne

    Habari za wakati huu... Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa... Kiwanja kipo upande wa kulia kutokea Madale mwisho.... Kilomita mbili mpaka madale mwisho... Kilomita mbili mpaka Goba njia nne.... Kiwanja kipo ndani ya mita 200 kutokea barabara kuu la Lami ya Madale.... Kiwanja kipo eneo zuri sana la...
  7. E

    JamiiForums Tanzania KIWANJA KINAUZWA KILUVYA KWA KOMBA

    Kiwanja kinauzwa kiluvya kwa Komba Umbali wake ni mwendo wa kutembea kwa mguu kutoka morogoro road Bei milioni 7 na nusu tu Ukubwa MITA 22 kwa 23 Kiwanja kina matofali,umeme na maji ya dawasco yapo 0675 065906
  8. Ochoa Real Estate

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Goba Tegeta "A" Kwa Bedui

    Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui Dakika 3 tuu kutoka kwa bedui center Dakika 7 tuu mpaka goba centre Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho Kiwanja kina sqm 700 Ni corner plot Kina njia kubwa pande mbili Eneo limejengeka vizuri sana Kiwanja kinauzwa milioni 40 tuu.... ☎️ +255 699...
  9. Ochoa Real Estate

    JamiiForums Tanzania KIWANJA KINAUZWA MAKONGO/DAKIKA 10 TUU MPAKA MLIMANI CITY/KIPO TAMBARARE NA JUU

    Kiwanja kinauzwa Makongo CCM Kilomita moja kutoka Makongo Road Kiwanja kina njia pande mbili/Conner Plot Kiwanja kipo juu tambarare Kiwanja kina SQM 1500+ Kiwanja kinauzwa Milioni 210 tu(maongezi yapo) Kiwanja kimezungukwa na nyumba za kisasa Dakika 10 upo Mlimani city ☎️+255 699 255 530 Beach...
  10. E

    JamiiForums Tanzania KIWANJA KINAUZWA MBEZI MWISHO MAKUTI

    KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA MBEZI MWISHO MAKUTI BEI NI MILION 13 TU ■■UKUBWA WA KIWANJA MITA 20 KWA 20 ■■UMEME NA MAJI YAPO SITE ■■VIMEPIMWA NA KURASIMISHWA KWA MAKAZI BORA 0675 065906
  11. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plots, Apartments for Sale

    Apartments for Sale Nzuri sana ya kisasa, iko Mikocheni Karibu na palm village, barabarani kabisa. Fully furnished, 3 master bedroom, kuna gym na swimming pool. Inauzwa $220,000 ( Dola laki mbili na ishirini) Ina mteja analipa kodi $1500 per month, Kama mtu anataka kuhamia mteja atapewa notice...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kizuri kwa biashara kinauzwa wilaya ya Kigamboni,Dar es Salaam.

    Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani. Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k. Eneo lipo...
  13. uberimae fidei

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha

    Kipo Kibaha kwa Mathias Msangani karibia na zahanati ya Msangani. Kina ukubwa mita 30 Kwa mita 20. Bei milioni 3. Miundo mbinu iko vizuri. Barabara ya lami, bajaji 1000, boda 1500.
  14. P

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Balili Bunda ukubwa 29 kwa 28, bei 5.5milion

    Kiwanja Kiko balili mjini wilayani bunda mkoani Mara. Kina Ukubwa wa 29 KWa 28 KWa kuhesabu hatua au tambo za miguu na kimepimwa na halimashauri.mnunuzi atalazimika kufatilia offer kisha hati. Kiko karibu na kanisa la lango la uzima pamoja na hospitali ya mkombozi.pia huduma za shule kuanzia...
  15. dalali wafaida

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Kinauzwa kiwanja Dar es salaam, Bunju

    Ukubwa wa kiwanja - Mita 23 × 20 Eneo kilipo - Bunju B Bei - Milioni 7 Maelezo Zaidi - 0679268006
  16. Munari

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Morogoro-Mkundi Kiegeya sqm 600(20/30)

    Kiwanja kipo Kiegeya (Mkundi) Morogoro Kimepimwa na kina hati ( documents ) za malipo halali ya serikali na wizard ardhi Kinafikika kwa hali zote Ni kiwanja no 3775 Bei Tsh.2.5m Njoo Mazungumzo yapo
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Ichukue hii! Kiwanja kinauzwa milioni 1 na laki 5 kipo Bagamoyo

    Ichukue hii! Kiwanja kinauzwa milioni 1 na laki 5 kipo Bagamoyo kipo kidomole Bagamoyo ukubwa wa 30 kwa 25 akipo mbali na barabara ni dakika 10 kufika kiwanja kilipo hatutojutia hata kidogo ukinunua kiwanja hicho Karibu sana simu 0712815440
  18. F

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa njiro Temdo Arusha

    Kiwanja kinauzwa Njiro Temdo kwa nyuma. Kiwanja kina ukubwa sqmt 2198, urefu wa kiwanja ni 59.43 na upana ni 37 ni mita 900 kutoka njiro barabara kuu. Huduma za kijamii zinapatikana. Maongezi yapo. Sqmt 1 ni Tsh. 50,000, maongezi yapo. 2198*50,000=109,900,000 maogezi yapo karibu sana. Huduma...
  19. MFALME WETU

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa Mvuti

    Nauza kiwanja changu maeneo ya Mvuti (kina msingi mkubwa wa nyumba ya vyumba vinne; viwili master, dining pamoja na jiko). Kama unatoka Chamazi kipo mkono wa kushoto, ukiwa unatoka Chanika Kipo mkono wa kulia na kina ukubwa wa miguu 23 urefu kwa miguu 18 upana, ni kiwanja kwa ajili ya makazi...
  20. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mlandizi Msufini, SQM 753

    Kiwanja kinauzwa,kipo Mlandizi Msufini sheli, Block J, kama unatoka Mbezi kipo mkono wa kushoto, kina ukubwa wa SQM 753 (39.56 urefu kwa 19.01 upana) ni kiwanja kwa ajili ya makazi. Kiwanja kipo karibu na barabara ya Dsm-Morogoro maarufu morogoro road. Kutoka kituo cha magari Msufini mpaka...
Back
Top Bottom