Katika mkutano mmoja wa kampeni hivi karibuni, Lissu alionya juu ya sheria ya kikokotoo ambayo kwa sasa imewekwa pending mpaka 2021, sheria ambayo kwa mujibu wa Lissu itafyeka nusu ya mafao ambavyo mstaafu anastahili kulipwa.
Lissu kawaonya Polisi na watumishi wengine wa umma ambao kwa nafasi...
Wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Ukiongea nao wanadai walipunjwa malipo. Baadhi waliofariki kabla ya kulipwa, warithi wao wanakuambia hawakuambulia kitu na waliolipwa mlolongo wa malipo kwao ulikuwa mkubwa kuliko.
Upanuzi wa barabara, viwanja vya ndege. Wahanga wa mabomu...
UPDATES:
Viongozi wa Vyama vya wafanyakazi wametoa historia ya walikotoka hadi walikofika. Aidha, wamedokeza kuwa wapo waliozimia kwenye ofisi za Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Rais Magufuli anawasikiliza na anataka kila mtu aongee na kutoa dukuduku ili aweze kuongea.
Viongozi wa vyama vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.