“MSIBA WA LUKUVI: JE, KILA MWENYE FAIDA NI MWENYE FURAHA?”
Na Emily Mwakilembe
Mwambie Mwenezi wa CCM Kihongosi kuna msemo unaoitwa “kufaa kufaana.” Ukielewa falsafa hii, utaona kuwa katika kila tukio hata la huzuni kuna upande mwingine unaonufaika kimyakimya.
Nenda kituo cha polisi kilicho...
Kwanza,ni kweli Kihongosi amesema hivyo?
Kwa sababu hawa ²wana habari wa Kenya hawaeleweki wanayozungumza.
Halafu Lissu anaweza vipi kujitokeza kama bado yupo jela?.
Halafu Jumuiya ya Commonwealth unataka uchunguzi,( ambayo tayari unafanyika), lakini na wao wanataka kufanya uchunguzi wao,pia...
Wakuu,
Ziko taarifa kuwa ziara ya Kihongosi inayoendelea inaacha maumivu makubwa kwa wananchi na wafanyabishara ambapo kwa upande wa Wakurugenzi wanalazimishwa kutoa fedha nyingi kwa ajili ya Kihongosi ambapo fedha hizo zilishapangwa kwenye bajeti za halmashauri kujenga zahanati, matundu ya...
Nimemfuatilia huyu kijana kwa kitambo kirefu, Hakika Kuna vyeo ndani ya ccm bila shaka vinapatikana kwa Uchawi.
Huyu hana uwezo kabisa wa kuwa Kiongozi katika ngazi yoyote Ile, Lakini anateuliwa! Mpaka sasa ndiye katibu wa Itikadi Duni kabisa tangu Cheo hicho kianzishwe huko ccm, hana hoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.