kihongosi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Andiko la Emily Mwakilembe kuhusu Kihongosi na msiba wa Lukuvi

    “MSIBA WA LUKUVI: JE, KILA MWENYE FAIDA NI MWENYE FURAHA?” Na Emily Mwakilembe Mwambie Mwenezi wa CCM Kihongosi kuna msemo unaoitwa “kufaa kufaana.” Ukielewa falsafa hii, utaona kuwa katika kila tukio hata la huzuni kuna upande mwingine unaonufaika kimyakimya. Nenda kituo cha polisi kilicho...
  2. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Kihongosi awakaribisha Lissu na Heche wajitokeze kujadili maridhiano.

    Kwanza,ni kweli Kihongosi amesema hivyo? Kwa sababu hawa ²wana habari wa Kenya hawaeleweki wanayozungumza. Halafu Lissu anaweza vipi kujitokeza kama bado yupo jela?. Halafu Jumuiya ya Commonwealth unataka uchunguzi,( ambayo tayari unafanyika), lakini na wao wanataka kufanya uchunguzi wao,pia...
  3. saidoo25

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Kihongosi imeingia doa, wakurugenzi wa halmashauri na wafanyabiashara wapaza sauti

    Wakuu, Ziko taarifa kuwa ziara ya Kihongosi inayoendelea inaacha maumivu makubwa kwa wananchi na wafanyabishara ambapo kwa upande wa Wakurugenzi wanalazimishwa kutoa fedha nyingi kwa ajili ya Kihongosi ambapo fedha hizo zilishapangwa kwenye bajeti za halmashauri kujenga zahanati, matundu ya...
  4. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kihongosi ndiye Mwenezi wa CCM duni zaidi tangu cheo hicho kianzishwe, alifukuzwa UDC kwa kumcharaza viboko Mtumishi wa Umma hadharani

    Nimemfuatilia huyu kijana kwa kitambo kirefu, Hakika Kuna vyeo ndani ya ccm bila shaka vinapatikana kwa Uchawi. Huyu hana uwezo kabisa wa kuwa Kiongozi katika ngazi yoyote Ile, Lakini anateuliwa! Mpaka sasa ndiye katibu wa Itikadi Duni kabisa tangu Cheo hicho kianzishwe huko ccm, hana hoja...
Back
Top Bottom