kigamboni

  1. Mataa ya daraja la furahisha yalikufa na Magufuli, je kigamboni Bado yanawaka? Hata kama hampendi magu, HACHENI hizo.

    Nimefika mwanza siku ya NNE sioni taa za daraja la furahisha je zilikufa na Magufuli? Je kigamboni Bado zinawaka? Hata kama hampendi magu tunzeni vitu vyake viwe kama alivyovijnga
  2. M

    Nimekutana na Spark plugs Denso iridium sindano elfu 10 Kila moja maeneo ya Kigamboni je hizi Zitakuwa original kweli

    Habari wadau Jana Nimekutana na Spark plugs Denso iridium sindano elfu 10 Kila moja maeneo ya Kigamboni je hizi Zitakuwa original kweli
  3. A

    KERO Mamlaka za TANROAD Kigamboni zipo?

    Barabara za Kigamboni hazina usimamizi wakati wa kufanya marekebisho. Ni kama vile hakuna usimamizi au mamlaka za TANROAD hazipo Kabisa Kigamboni. Kipande cha kurekebisha wiki moja kinachukua miezi 6 hadi nane. Mathalani ukipita Kigamboni maeneo ya Machava hadi Tanzanite kuna vipande vya...
  4. Polisi wa Kigamboni wameungana na Wananchi wa Kimara kuwatia moyo

    Salaam, Nimefarijika sana.. Maandamano ya leo yalijaa wana wa Jeshi. Sio Polisi wote wabaya. Wanne wametoka Kigamboni, Askari Magereza Wawili wametoka Mbezi beach, Wanajeshi Watatu wametoka Goba. Tumekinukisha balaa. Leo baada ya night shift, tutahakikisha tunaenda maandamano yalipo...
  5. R

    GE2025 DC Kigamboni, Dalmia Mikaya: Hali ya usalama ni shwari wananchi waendelee kujitokeza kupiga kura

    Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Dalmia Mikaya akizungumzia hali ilivyo katika wilaya hiyo hususani muamko wa watu kujitokeza kupiga kura na hali ya utulivu iliyopo hadi sasa "Hali ya Usalama ni nzuri, watu wamekuwa na amani na utulivu mkubwa. Niendelee kuwasisitiza na kuwahimiza kwa wale ambao bado...
  6. Naomba kufahamishwa ni shule gani za primary za kiislam zilizopo maeneo ya kigamboni zinazofanya vizuri

    Habari wana Jamii. Naomba kufahamishwa ni shule gani za primary za kiislam zilizopo maeneo ya kigamboni zinazofanya vizuri. Asante
  7. S

    GE2025 KIGAMBONI: Yericko azindua kampeni kwa agenda nzito

    Jana Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni amezindua kampeni zake, Hapa chini ni sehemu ya Hotuba yake ya uzinduzi :::::::::::::::::::: HOTUBA YA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI AGENDA KUU 1. MIUNDOMBINU BARABARA: Suala la Miundombinu ya Barabara nimelipa kipaumbele cha kwanza kabisa na...
  8. TANESCO yatangaza kukosekana kwa huduma ya umeme Mbagala na Kigamboni

    TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME MBAGALA NA KIGAMBONI Jumatatu, 08 Septemba 2025 Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa maeneo ya Mbagala na Kigamboni kuwa kumetokea hitilafu ya umeme leo tarehe 08 Septemba 2025 katika njia ya...
  9. GE2025 Mwanaisha: Nikiwa mbunge mtapita bure daraja la Kigamboni

    Mgombea ubunge wa Jimbo la Kigamboni kupitia ACT Wazalendo, Wakili Mwanaisha Mndeme ameahidi kuhakikisha wanapita kwenye daraja la Nyerere (maarufu kama Daraja la Kigamboni) hawalipi fedha yoyote endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo. Ameyasema hayo Septemba 06, 2025 akiwa katika...
  10. Producer maarufu nchini, Master J, adai ana viwanja zaidi ya mia moja huko kigamboni.

    Wakuu, moja kati ya watayarishaji bora wa muziki wa bongo wa bongo fleva nchini, Master J, adai ana viwanja zaidi ya mia moja huko kigamboni. Master J anadai kutokana na hadhi ya viwanja alivyonavyo kwa sasa, anauwezo wa kikiuza kila kimoja kwa milion mia tatu.
  11. Viwanja Viwili Vinauzwa Kigamboni Tundwi Songani

    Viwanja Viwili Vinauzwa. Mahali: Kigamboni Tundwi Songani. Vipo km 20 kutoka Kibada, Mita 200 kutoka barabara kuu. Ukubwa wa Eneo: SQM 1449. Bei: Tzs Milioni 35. Mazungumzo yanaruhusiwa. Nyaraka: Hatimiliki. Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika. Mawasiliano: 0784 829565 au 0767 833345 au...
  12. House For Sale at Kigamboni Kibada

    House with Three Apartments in Kibada Kigamboni for Sale. -Two units of three bedrooms. -One unit of two bedrooms. -Each unit has independent electricity meter. -Mature garden, 60m freshwater borehole, fenced. -1460 Sqm, Title available. Selling Price: TZS 450m negotiable. For more information...
  13. Miradi ya viwanja kigamboni Puna

    Miradi mipya Kigamboni – Puna inapatikana kuanzia milioni 3 kwa kiwanja cha 20*20 meters, yaani sqm 400. Viwanja vinapatikana kuanzia ukubwa wa sqm 400 hadi 2000. Puna Beach Plots Kigamboni ipo umbali wa km 38 kutoka Ferry, km 35 kutoka Daraja la Nyerere, mita 500 kutoka barabara kuu na mita...
  14. Industrial Plot For Sale at Kigamboni Mwasonga

    Plot For Sale in Kigamboni Mwasonga. Along tarmac road, 16km from ferry, 5-6km from Kibada. Size: SQM 7472. Price: Tsh 600 Million. Document: Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply. Contacts: 0784 829565 or 0767 833345 or 0627...
  15. Plot For Sale at Kigamboni Gezaulole near Gezaulole dispensary

    Plot For Sale. Location: Kigamboni Gezaulole, near Gezaulole Dispensary. 2nd row from beach, 100m away from Indian ocean. Size: SQM 911. Price: Tsh 150 Million. Document: Clean Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply. Contacts...
  16. Plot For Sale at Kigamboni Dege Amani Gomvu

    Plots Available For Sale. Location: Kigamboni Dege, Amani Gomvu area. Descriptions: *Plots located 23km from ferry, 800m from main road. *There are 10 plots in the area. *Each plot has title deed. *You can buy all area or a number of plots. *Suitable for commercial or residential activities...
  17. GE2025 Kigamboni tunaenda na Yericko Nyerere

    Tunahitaji vijana wenye uthubutu na wenye utambuzi. Yericko Nyerere Anatosha
  18. Plot4Sale Industrial Area for sale at Kigamboni

    Eneo linauzwa Kwa hili ya matumizi ya KIWANDA Location Kigamboni Mwasonga Sqm 10000+ Title Deed (HATI YA KIWANDA) Bei milion 600 Hakuna mgogoro wowote Nipigie simu nikupeleke 📱0754693556
  19. Plot For Sale at Kigamboni Gezaulole Opposite Islamic club.

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Gezaulole near ASAS house. •It's on main street, 150m away from beach, opposite Islamic Club. •The plot has fairly used house. Size: SQM 580. Price: Tsh 150 Million. Document: Clean Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly...
  20. Plot For Sale at Kigamboni Kisarawe 2

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada rd), 2km inside from Mwasonga road. *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for industrial, commercial or...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…