kifo

Mwisho wa uhai, mwili kutokuwa na uhai.
  1. Rejea kifo cha wazazi wa Anna: Maisha hayana maana kama hakuna kifo

    Salute: Siku ya jana ilikua majonzi kwa binti Anna Zambi na watanzania wote wenye mioyo ya huruma na utu, kwake Anna ilikua ndio siku mbaya zaidi kuliko zote alizowahi ishi hapa duniani. Wapo walionguna nae kwa kilio, wapo walioungana kwa maombi na kumtakia heri katika safari yake mpya hiyo...
  2. Kifo cha Al Baghdad - De javu

    Alianza Bush, alipohitaji kura za wananchi wake, aliwajia na hadithi za Saddam kuhusika na 9/11, akaunda zengwe la maana na mwishowe akaivamia Iraq ilia pate pa kuponea, kilichofuatia ni historia. Rais George W. Bush akilianzisha Staili hii akaja nayo kijana mtanashati, Obama...
  3. Ni kweli baada ya kifo cha baba (mume) kwa asilimia kubwa sana mke, watoto na wazazi wanaingia kwenye mgogoro mkubwa sana

    Suala la mirathi na urithi kwa ujumla linaleta chuki sehemu ambapo upendo ulitawala kwa sababu hakuna utaratibu ambao upo wazi wa kufuata juu ya suala la mirathi. Ni maoni yangu serikali iliwekee sheria na kanuni namna ya kuwawezesha wafiwa kuendelea na maisha mema hata baada ya mpendwa wao...
  4. INikihesabu kutoka 14 Oct 1999 hadi 14 Oct 2019 napata miaka 19. Iweje tuadhimishe miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa?

    Wanabodi, Kila nikihesabu miaka tangu Baba wa Taifa afariki napata 19. Hii ni toka mwaka 1999 hado 2019. sasa ilikuwaje tukaadhimisha miaka 20 tareha 14 October 2019? R.I.P mpendwa wetu JKN. Lengo ni kuwekana sawa hakuna jingine.
  5. Ni kweli kuna vyakula ambavyo husabisha kifo vikiliwa kwa wakati mmoja?

    Katika pitapita zangu nimekutana na hii habari, kuwa kuna vyakula/vinywaji hutakiwi kula kwa wakati mmoja. Yaani "mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi utakufa. Je ni kweli na kama kweli vipo? Msaada wa kuvitaja
  6. Familia yataja sababu za kifo cha Hakimu Juma

    Dada wa aliyekuwa Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Juma Hassan Kasailo ametaja sababu ya kifo chake. Hassan alifariki ghafla siku ya Ijumaa, ambapo kifo chake kilithibitiswa na Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Ilvin Mugeta. Kabla ya kuthibitishwa, taarifa za kifo cha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…