Salaam za heshima,
Natumaini ujumbe huu unawafikia mkiwa salama.
Mimi ni kijana wa kiume, mwenye umri wa miaka 26, ninaishi Mbagara Kuu. Elimu yangu ni kidato cha nne.
Naomba kazi au kibarua chochote halali kinachopatikana, kama vile:
Kuuza dukani
Uwinga
Kufanya usafi kwenye ofisi au maeneo...